zawadi rahisi sana hizo mzee baba
inafaa umzawadie kitu kitakachojenga kumbukumbu kila akitazama hata mkata kamba akiwapitia akiiangalia anaona hii ni zawadi bora sana kuwahi kupewa
fikiria zaidi na zaidi mkuu hilo kofuli akilisahau ugenini watalichoma moto
Mbinu sahihi katika mazingira na wakati sahihi.
Ila hapo kwenye bikra weka 20% hizo zingine fanya kama umebeti huenda ukaja nishukuru siku moja.
Mazingira ya mchuchu yasikufanye ukawa na high expectations juu ya uwepo wa hiyo bikra. Hawa viumbe kama kuna jambo hupaswi kuamini kutoka kwao ni uwepo wa hiyo kitu.
Nibora uamini haipo halafu uikute kuliko kuamini ipo halafu usiikute.
Yani Deraaaa. Ni mtoto wa Temeke au? I mean tafuta zawadi nzuri itakayo msisimsha sasa Dera hapana mdogo wangu mimi kama dada ako nakushauri mpelekee hizo chupi na hela wewe mpe tuu hela atajua cha kufanyia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.