Mwanamke analainishwa na zawadi boss...ndo tunavyoenda naoUmeshasema amekujibu nyodo Sasa zawadi ya Nini? Akachukua zawadi Kisha akutose uanze kulalamika..
KENZY unazingua aisee...! Mke ndo anannuliwa zawadi kubwa kama hiyo.Mnunulie smart phone
Ok, huyo mswazi mtoe out.Mwanamke analainishwa na zawadi boss...ndo tunavyoenda nao
Basi kamroge.KENZY unazingua aisee...! Mke ndo anannuliwa zawadi kubwa kama hiyo.
Yes! Hapo umenipa wazo...!Ok, huyo mswazi mtoe out.
Wewe itakuwa mpare...!Basi kamroge.
Huyo labda demu wa masaki, ila hawa waswazi wenzetu ni ngumuUnanafasi kubwa ya kuteka moyo wake bila pesa zako. Labda uwe specific unataka penzi la dhati au unataka kununua penzi
Basi kampare mkuu.Wewe itakuwa mpare...!
πππMnunulie dela na sponji ya kuvaa sijui wanaita kigodoro, atafurahia sana
Ewaaaah!!!... Wewe umenielewa nnachotakaMkuuu...mnunulie kijora..Akakutingishie chura ...Akicheza singeli
Si kweli mkuu. Yoyote tu ilimradi awe mwanamke, Wote their mijd can be manipulated so easily and u ca win their hearts. Au huna malengo yoyote juu yake unataka kupoteza poteza mudaHuyo labda demu wa masaki, ila hawa waswazi wenzetu ni ngumu
Atakavyonitreat ndo ntajua kama nafika nae mbali au namwacha njiani?Si kweli mkuu. Yoyote tu ilimradi awe mwanamke, Wote their mijd can be manipulated so easily and u ca win their hearts. Au huna malengo yoyote juu yake unataka kupoteza poteza muda
Sure kijora kitaweza kuulainisha moyo wake ulio mgumu kama jiwe.Wigi sharti ulijaribu ujue Kama limekupendeza...Huyo kijora TU kinamfaa.