Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,343
- 10,799
Zile..hereni usiombe uogee...[emoji3][emoji3][emoji3]...yani zikishika maji TU ...Baasi huvai Tena...Ni batiKuna hereni zile za buku zinakuja kama kumi hivi zinatosha Sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zile..hereni usiombe uogee...[emoji3][emoji3][emoji3]...yani zikishika maji TU ...Baasi huvai Tena...Ni batiKuna hereni zile za buku zinakuja kama kumi hivi zinatosha Sana
Ukinuniliwa chupi unaliwa mapema?Imewahi kukutokea??Pia..unaweza mnunulia chupi..ila atakua lengo lako la kumla mapema. cheni ya shingoni...waangalie wswazi wenzake wanavaa Nini....utapata majibu mkuu
Zipo kama plastic pia..na Vito vitoZile..hereni usiombe uogee...[emoji3][emoji3][emoji3]...yani zikishika maji TU ...Baasi huvai Tena...Ni bati
Mkuu..hapa tunajadili zawadi ya kumpa demu wa uswazi...Ukinuniliwa chupi unaliwa mapema?Imewahi kukutokea??
Nlikua navaa Sana hereni za miatatu Hadi miatano na buku..wakati na Soma.. Yaaani ukipanda daladala..ushaangusha moja.. unarudi Tena kununua za miatano..sijui bado Zipo..Maana nlitoboa sikio moja mashimo manne..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Zipo kama plastic pia..na Vito vito
Nlikua navaa Sana hereni za miatatu Hadi miatano na buku..wakati na Soma.. Yaaani ukipanda daladala..ushaangusha moja.. unarudi Tena kununua za miatano..sijui bado Zipo..Maana nlitoboa sikio moja mashimo manne..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]u
UDSM.. ila hizi heleni za miambili nlikua nazinunua nje ya NBAA wakati nasoma CPA..Ulisoma wapi?
Tatizo lako ulitoboa mashimo badala ya matundu ndo maana zilikuwa zinaanguka !!Nlikua navaa Sana hereni za miatatu Hadi miatano na buku..wakati na Soma.. Yaaani ukipanda daladala..ushaangusha moja.. unarudi Tena kununua za miatano..sijui bado Zipo..Maana nlitoboa sikio moja mashimo manne..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]