Zawadi nzuri kwa mswazi mwenzangu

Zawadi nzuri kwa mswazi mwenzangu

Pia..unaweza mnunulia chupi..ila atakua lengo lako la kumla mapema. cheni ya shingoni...waangalie wswazi wenzake wanavaa Nini....utapata majibu mkuu
 
Pia..unaweza mnunulia chupi..ila atakua lengo lako la kumla mapema. cheni ya shingoni...waangalie wswazi wenzake wanavaa Nini....utapata majibu mkuu
Ukinuniliwa chupi unaliwa mapema?Imewahi kukutokea??
 
Zipo kama plastic pia..na Vito vito
Nlikua navaa Sana hereni za miatatu Hadi miatano na buku..wakati na Soma.. Yaaani ukipanda daladala..ushaangusha moja.. unarudi Tena kununua za miatano..sijui bado Zipo..Maana nlitoboa sikio moja mashimo manne..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nlikua navaa Sana hereni za miatatu Hadi miatano na buku..wakati na Soma.. Yaaani ukipanda daladala..ushaangusha moja.. unarudi Tena kununua za miatano..sijui bado Zipo..Maana nlitoboa sikio moja mashimo manne..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]u


Ulisoma wapi?
 
Nlikua navaa Sana hereni za miatatu Hadi miatano na buku..wakati na Soma.. Yaaani ukipanda daladala..ushaangusha moja.. unarudi Tena kununua za miatano..sijui bado Zipo..Maana nlitoboa sikio moja mashimo manne..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Tatizo lako ulitoboa mashimo badala ya matundu ndo maana zilikuwa zinaanguka !!
 
Back
Top Bottom