Zawadi ya Bajaj ni halali kwa Ibrahim Class?

sasa ndio apewe bajaj kweli?
Hivi yule mmexico angeshinda angepewa hiyo bajaj?
Bora wasingetangaza hiyo zawadi, zawadi zao ziwe siri yao wote .
Naamini hakuna angelalamika maana kama ngumi, zimepiganwa kiuweledi na kwa kusisimua
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hivi ni kweli kwamba pamoja na maandalizi yote ya pambano la ndondi dhidi ya Mmexico , Ibra tuzo aliyostahili ni Bajaji ?

Hivi ndivyo wenzetu Duniani wanavyofanya au mimi ndio sielewi ?
Mo ameanza kuharibu na huku kwenye ndondi.
 
Hivi ni kweli kwamba pamoja na maandalizi yote ya pambano la ndondi dhidi ya Mmexico , Ibra tuzo aliyostahili ni Bajaji ?

Hivi ndivyo wenzetu Duniani wanavyofanya au mimi ndio sielewi ?
Halafu mwakinyo akikataa kupigana bongo mnasemaga ana dharau!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…