evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,035
- 8,218
sasa ndio apewe bajaj kweli?Watu walalamishi hata uwape nini
[emoji38][emoji38][emoji38]sasa ndio apewe bajaj kweli?
Hivi yule mmexico angeshinda angepewa hiyo bajaj?
Bora wasingetangaza hiyo zawadi, zawadi zao ziwe siri yao wote .
Naamini hakuna angelalamika maana kama ngumi, zimepiganwa kiuweledi na kwa kusisimua
hahahahahaHivi ni kweli kwamba pamoja na maandalizi yote ya pambano la ndondi dhidi ya Mmexico , Ibra tuzo aliyostahili ni Bajaji ?
Hivi ndivyo wenzetu Duniani wanavyofanya au mimi ndio sielewi ?
Mo ameanza kuharibu na huku kwenye ndondi.Hivi ni kweli kwamba pamoja na maandalizi yote ya pambano la ndondi dhidi ya Mmexico , Ibra tuzo aliyostahili ni Bajaji ?
Hivi ndivyo wenzetu Duniani wanavyofanya au mimi ndio sielewi ?
Uvccm nyie wote mapungaNo research no right to speak! Mbona mavijana ya bavicha yanakuwa mazembe kiasi hiki?
Halafu mwakinyo akikataa kupigana bongo mnasemaga ana dharau!!Hivi ni kweli kwamba pamoja na maandalizi yote ya pambano la ndondi dhidi ya Mmexico , Ibra tuzo aliyostahili ni Bajaji ?
Hivi ndivyo wenzetu Duniani wanavyofanya au mimi ndio sielewi ?
Kabla ya MO walikuwa wanalipwaje?Mo ameanza kuharibu na huku kwenye ndondi.
Ina thamani gani?Hivi ni kweli kwamba pamoja na maandalizi yote ya pambano la ndondi dhidi ya Mmexico , Ibra tuzo aliyostahili ni Bajaji ?
Hivi ndivyo wenzetu Duniani wanavyofanya au mimi ndio sielewi ?