decomm
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 726
- 666
Habari wana jamvi?
Simba sports club imeanzisha utaratibu wa kutoa zawadi / tuzo ya gari kwa mfungaji bora wa msimu... (ITV habari za michezo jana)
My take: Kwa kuwa mchezo wa mpira ni team work, naona siyo sahihi kumpa mfungaji bora peke yake wakati kazi imefanywa na wote kila mmoja kwa nafasi yake, mfungaji amemalizia tu!
Hii huenda ikasababisha kupungua morali ya watoa pasi za mwisho kabla ya goli au (na) kuleta uchoyo wa pasi kuelekea kufunga goli.
Bora zawadi ya mfungaji bora ingekuwa SIFA na cheti, ngao, au medali isiyo na thamani kuuubwa ili zawadi / tuzo kubwa kusudiwa igawanywe kwa timu yote na si vibaya mfungaji bora akizidi wenzake kidoogo KULIKO kumpa mchezaji mmoja gari peke yake.
Nini maoni yako?
Simba sports club imeanzisha utaratibu wa kutoa zawadi / tuzo ya gari kwa mfungaji bora wa msimu... (ITV habari za michezo jana)
My take: Kwa kuwa mchezo wa mpira ni team work, naona siyo sahihi kumpa mfungaji bora peke yake wakati kazi imefanywa na wote kila mmoja kwa nafasi yake, mfungaji amemalizia tu!
Hii huenda ikasababisha kupungua morali ya watoa pasi za mwisho kabla ya goli au (na) kuleta uchoyo wa pasi kuelekea kufunga goli.
Bora zawadi ya mfungaji bora ingekuwa SIFA na cheti, ngao, au medali isiyo na thamani kuuubwa ili zawadi / tuzo kubwa kusudiwa igawanywe kwa timu yote na si vibaya mfungaji bora akizidi wenzake kidoogo KULIKO kumpa mchezaji mmoja gari peke yake.
Nini maoni yako?