Asa mkuu ile ni kazi bure.Minziro alichokifanya na mbao japo mbao umeshuka kinastahili kuundiwa category ya aina yake.
Unataka kusema kubebwa kuliendelea hadi kwenye zawadi?Kwenye kikosi Bora Mhilu goli 13 asst 3, Peter Mapunda Goli 13 asst 1, Chirwa Goli 12 asst 5, Lusajo Goli 12 asst 4, Wazir Jnr Goli 12 asst 2 wote hawajachaguliwa amekwenda kuchaguliwa bocco mwenye Goli 9 asst 3. Uondio mpira wetu ulipofikia.
Kuna kipindi alikaa benchi sababu ya kuumia hivyo kacheza mechi chache ukilinganisha na hao ulowataja.Kwenye kikosi Bora Mhilu goli 13 asst 3, Peter Mapunda Goli 13 asst 1, Chirwa Goli 12 asst 5, Lusajo Goli 12 asst 4, Wazir Jnr Goli 12 asst 2 wote hawajachaguliwa amekwenda kuchaguliwa bocco mwenye Goli 9 asst 3. Uondio mpira wetu ulipofikia.
Kazi kweli kweli, me mwenyewe nilishangaaKwenye kikosi Bora Mhilu goli 13 asst 3, Peter Mapunda Goli 13 asst 1, Chirwa Goli 12 asst 5, Lusajo Goli 12 asst 4, Wazir Jnr Goli 12 asst 2 wote hawajachaguliwa amekwenda kuchaguliwa bocco mwenye Goli 9 asst 3. Uondio mpira wetu ulipofikia.
Bocco kacheza nusu msimu, wakati hao uliowataja wamecheza karibu msimu mzima.Kwenye kikosi Bora Mhilu goli 13 asst 3, Peter Mapunda Goli 13 asst 1, Chirwa Goli 12 asst 5, Lusajo Goli 12 asst 4, Wazir Jnr Goli 12 asst 2 wote hawajachaguliwa amekwenda kuchaguliwa bocco mwenye Goli 9 asst 3. Uondio mpira wetu ulipofikia.
Huu ni ungese wa kiwango cha SGR, tifutifu wajiangalie.Kwenye kikosi Bora Mhilu goli 13 asst 3, Peter Mapunda Goli 13 asst 1, Chirwa Goli 12 asst 5, Lusajo Goli 12 asst 4, Wazir Jnr Goli 12 asst 2 wote hawajachaguliwa amekwenda kuchaguliwa bocco mwenye Goli 9 asst 3. Uondio mpira wetu ulipofikia.
Yeeessssss.Unataka kusema kubebwa kuliendelea hadi kwenye zawadi?
Bocco kacheza nusu msimu, wakati hao uliowataja wamecheza karibu msimu mzima.
Nadhani walizingatia hili...
Japo sihalalishi hiyo.
We umeangalia magoli hujaangalia amecheza mechi ngapi?Kwenye kikosi Bora Mhilu goli 13 asst 3, Peter Mapunda Goli 13 asst 1, Chirwa Goli 12 asst 5, Lusajo Goli 12 asst 4, Wazir Jnr Goli 12 asst 2 wote hawajachaguliwa amekwenda kuchaguliwa bocco mwenye Goli 9 asst 3. Uondio mpira wetu ulipofikia.
Mpira Ni magoli na forward Ni kuingiza magoli nothing less than thisWe umeangalia magoli hujaangalia amecheza mechi ngapi?
Afu kufunga goli nyingi haikupi kua wewe ulikua bora, Kwenye Wachezaji bora EPL Valde hayupo japo ni mfungaji bora. Mi nafikiri wanaangalia na jinsi timu inavyokuzunguka wewe
Kwani ulishaona hapo ni tuzo ya mfungaji bora?Mpira Ni magoli na forward Ni kuingiza magoli nothing less than this