Zay B vs Sister P

Sister P .....
kwa kimombo sasa,
I'm coming, I'm coming
coming from where? (hii ni tofauti na where are you coming from) Mtwara?
 
Mdogo wangu asante kwa upendo! Hilo ni hitaji muhimu la kiasili la binadamu kupenda na kupendwa ila mimi tayari dadaako Angel Nylon nimeshaweka tuo....penda sana yeye [emoji144] [emoji144] [emoji144]
[emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji26] [emoji26] [emoji26] [emoji29]
 
Mshana ikianzishwa lugha ya imoj.. Utakuwa dictionary yetu wana jf wote.. [emoji4] unaijuaa vizuri sana
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji115] [emoji120] [emoji106]
 
sista P nilisikia nae alipigwa kibend
[emoji23] [emoji23] [emoji23] halafu ikashika kabisa? Na kitumbo kikawa ndindindi?[emoji23] [emoji23] [emoji23] akala na udongo na kulamba ndimu? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji322] [emoji125]
 
RAH P•SISTER P•ZAY B• walikuwa wanafanya kweli kipindi cha awali Alafu kipindi kile Radio mawingu ndiyo ilikuwepo full mapozi •Ila saivi wanapiga hadi singeli Baada ya Mziki Mnene Kuwapita kwa kusikilizwa Dar.
 
Ilisaidia gemu kuchangamka lakin, kama walipigwa kwenye maslahi hilo ni jambo jingine
Mimi nilikuwa shabiki wa Rah P, sjui alienda wap yule.
Hata mm nilikuwa namkubali sana yule shombe shombe inabidi tumuulize mwisho mwampamba alimpeleka wapi mkali wetu?
 
Hata mm nilikuwa namkubali sana yule shombe shombe inabidi tumuulize mwisho mwampamba alimpeleka wapi mkali wetu?
Ki ukweli Rah P alikuwa ana imba hiphop with beauty ilikuwa safi sana.
Naskia alizalishwa huko US na mambo hayakuwa mazuri kwake
 
Ki ukweli Rah P alikuwa ana imba hiphop with beauty ilikuwa safi sana.
Naskia alizalishwa huko US na mambo hayakuwa mazuri kwake
Aliachika? mbona naskia ukizalizwa huko majuu unaishi fresh tu na mshahara unapewa? kama mange mbna hana shida huyo bi mkubwa
 
Aliachika? mbona naskia ukizalizwa huko majuu unaishi fresh tu na mshahara unapewa? kama mange mbna hana shida huyo bi mkubwa
Aaah
Sja fuatilia sana ila inaonekana future yake yote iliishia kwenye huko kuzalishwa.
She z in US afterall si mbaya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…