Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Kaka ikikupendeza urudi kujifunza.....katikati ya nne ni ngapi!!!?Pichani ni mjukuu wa Bakhresa ajulikanaye kama Zayed Bakhressa (katikati) akiwa na Mo GSM mtoto wa GSM na Rakin. Watoto wa kishua.
View attachment 2662463
Zayed Bakhressa ana account twitter mastaa wote wa bongo wamemfollow. Yaani akipost chochote unakuta mastaa wanajichekesha kwenye comment.
Dogo anaishi bongo kama yupo nje, anatembelea magari ya kifahari.
Ama kweli pesa sabuni ya roho na pesa inafanya dunia izunguke.
Watatu ni subject huyo kushoto ni background,kwa hiyo katikati Ni mwenye kofiaKak
Kaka ikikupendeza urudi kujifunza.....katikati ya nne ni ngapi!!!?
Hapo wapo watu wanne huo utambulisho wako unamlenga yupi alie katakati yao??
Naona leo umeamua kuwageuka Waarabu wenzako.Wahamiaji tu hao wezi
Bandari fc
😂😂😂😂😂😂😂😂Na wewe ukaona usipitwe, uje ujichekeshe jf kama ana akaunti akuone.
Vijana wabaya sana hawa , waliwahi mpiga Irene Uwoya mtungoPichani ni mjukuu wa Bakhresa ajulikanaye kama Zayed Bakhressa (katikati) akiwa na Mo GSM mtoto wa GSM na Rakin. Watoto wa kishua.
View attachment 2662463
Zayed Bakhressa ana account twitter mastaa wote wa bongo wamemfollow. Yaani akipost chochote unakuta mastaa wanajichekesha kwenye comment.
Dogo anaishi bongo kama yupo nje, anatembelea magari ya kifahari.
Ama kweli pesa sabuni ya roho na pesa inafanya dunia izunguke.
OkNgoja na mimi nikapost ya mwanangu akiwa na marafiki zake.
Punguza ujuajiwatoto wa walipa kodi.