reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Changamoto hazikosekani mkuu, imagine babu anamwambia hiyo 100M iiishe ndani ya wiki, atatumiaje?? Atanunua nini na kila kitu anacho!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Changamoto hazikosekani mkuu, imagine babu anamwambia hiyo 100M iiishe ndani ya wiki, atatumiaje?? Atanunua nini na kila kitu anacho!!
Vishu Kama vishu😂😂Changamoto hazikosekani mkuu, imagine babu anamwambia hiyo 100M iiishe ndani ya wiki, atatumiaje?? Atanunua nini na kila kitu anacho!!
Vijana wabaya sana hawa , waliwahi mpiga Irene Uwoya mtungo
Mtoa mada kashalowaPichani ni mjukuu wa Bakhresa ajulikanaye kama Zayed Bakhressa (katikati) akiwa na Mo GSM mtoto wa GSM na Rakin. Watoto wa kishua.
View attachment 2662463
Zayed Bakhressa ana account twitter mastaa wote wa bongo wamemfollow. Yaani akipost chochote unakuta mastaa wanajichekesha kwenye comment.
Dogo anaishi bongo kama yupo nje, anatembelea magari ya kifahari.
Ama kweli pesa sabuni ya roho na pesa inafanya dunia izunguke.
Unatishwa na wafuga majini mkuuPichani ni mjukuu wa Bakhresa ajulikanaye kama Zayed Bakhressa (katikati) akiwa na Mo GSM mtoto wa GSM na Rakin. Watoto wa kishua.
View attachment 2662463
Zayed Bakhressa ana account twitter mastaa wote wa bongo wamemfollow. Yaani akipost chochote unakuta mastaa wanajichekesha kwenye comment.
Dogo anaishi bongo kama yupo nje, anatembelea magari ya kifahari.
Ama kweli pesa sabuni ya roho na pesa inafanya dunia izunguke.
Utaishia hivyo hivyo kwa chuki zako zisizokuwa na faida, kwa roho mbaya uliyokuwa nayo kutoboa ni ngumu sana ,mungu fundi anajua sana , inakuwaje mtu unakaa unamchukia mtu kwa neema zake alizopewa na mungu?Unatishwa na wafuga majini mkuu
Hivi watoto wa Mo Dewji wako level sawa na Bakhresa? Nahisi labda babake Mo na Bakhresa ndiyo age mates! Ama namna gani!Mo dewji na watoto wa Bakhressa ni marafiki wamesoma pamoja IST na chuo kikuu wamesoma pamoja Georgetown marekani
Hivi watoto wa Mo Dewji wako level sawa na Bakhresa? Nahisi labda babake Mo na Bakhresa ndiyo age mates! Ama namna gani!
Tafuta hela acha kujibu kinyonge na kujifariji,na wewe fuga hayo majini uwe na utajiri kama ni rahisi,halafu huko upande wenu si ndio nyie kila siku mnatolewa mapepo tena kwa kulipia?Unatishwa na wafuga majini mkuu
Dini pendwaDini gani hao?
Wana maokoto? Usitujazie server na picha za mashambani [emoji23]Ngoja na mimi nikapost ya mwanangu akiwa na marafiki zake.
Hahahaaa...... Ndo maana yake mkuu.Wana maokoto? Usitujazie server na picha za mashambani [emoji23]