Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazee wa Bandari
Wahamiaji tu hao wezi
Bandari fc
Kijana upo Iddle sana mpaka unakosa la kufanya unaamua kifuatilia maisha ya watu. Muda huu si ungeitumia kusoma Mkataba wa DP World, Katiba, Quran, Biblia au hata Swahili Course?Pichani ni mjukuu wa Bakhresa ajulikanaye kama Zayed Bakhressa (katikati) akiwa na Mo GSM mtoto wa GSM na Rakin. Watoto wa kishua.
View attachment 2662463
Zayed Bakhressa ana account twitter mastaa wote wa bongo wamemfollow. Yaani akipost chochote unakuta mastaa wanajichekesha kwenye comment.
Dogo anaishi bongo kama yupo nje, anatembelea magari ya kifahari.
Ama kweli pesa sabuni ya roho na pesa inafanya dunia izunguke.
hao ndiwo wqnaishi wqkqt sisi tunapumua murqd tusife.sisi wabeba tofari dunian moto kwa mungu moto mpaka tujambe barutimkuu huyo alopiga Lemba ni nani? Katoka kibabe sana.
Anawashangaa wenzake nayeye anafanya jambo lile lile 😀😀Na wewe ukaona usipitwe, uje ujichekeshe jf kama ana akaunti akuone.
KumbeUnataka sema hizi shule zetu hazifai au zinatengeneza waajiriwa wengi badala ya waajiri wengi
Wamanga ni watu wa kutoka wapi ?Wamanga koko
Wamanga ni watu wa kutoka wapi ?
My Queen katika ubora wake, dah nimecheka sana walai, lol 😂😂😂Na wewe ukaona usipitwe, uje ujichekeshe jf kama ana akaunti akuone.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Irene mashine kubwa ile naona vijana walikuw wanaogelea tu
Abeeeeeeh!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ebu tupe ukweliAbeeeeeeh!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni wapi ?Umangani...
Wa kuhusu mtungo?? Mie najua ni danga la GSM. sasa ya hao madogo kumla mtungo, sijui.Ebu tupe ukweli
Ghalib au yule Salah hadi akamchora na tattoo?Wa kuhusu mtungo?? Mie najua ni danga la GSM. sasa ya hao madogo kumla mtungo, sijui.
Ukisema hivo unakuwa mbaguzi kama FaizaFoxy hawa ni watanzania wema wanaojitafutia mali kihalali wanahaki ya kuenjoy juhudi za baba zao.Rai kwao wakumbuke ndugu zao watanzania bado masikini waongeze bidii kujitajirisha ili walipekodi kubwa na kutuajiriWahamiaji tu hao wezi
Bandari fc