Zayed Bakhressa na Mo GSM, tafsiri sahihi ya wakishua

Zayed Bakhressa na Mo GSM, tafsiri sahihi ya wakishua

Pichani ni mjukuu wa Bakhresa ajulikanaye kama Zayed Bakhressa (katikati) akiwa na Mo GSM mtoto wa GSM na Rakin. Watoto wa kishua.
View attachment 2662463

Zayed Bakhressa ana account twitter mastaa wote wa bongo wamemfollow. Yaani akipost chochote unakuta mastaa wanajichekesha kwenye comment.

Dogo anaishi bongo kama yupo nje, anatembelea magari ya kifahari.

Ama kweli pesa sabuni ya roho na pesa inafanya dunia izunguke.
watoto wa dewji na watoto wa bahresa ni mfano wa kuigwa, kwasababu wamezaliwa kwenye mambo safi na hawajaharibika. tofauti kidogo na jicho la manji. kama mzazi watoto wako wakiwa wakubwa bile na wana akili za kupambana maishani ni neema kubwa sana.
 
Ghalib au yule Salah hadi akamchora na tattoo?
Ila naona kama siku hizi mashauzi yamepungua, sidhani kama ana danga la maana
Gharib, maana ndo aliyeanza, kufumba na kufumbua sallah yumoo nae, baada ya kugundua hilo sallah akaamua kumuachia brooh wake.
 
Pichani ni mjukuu wa Bakhresa ajulikanaye kama Zayed Bakhressa (katikati) akiwa na Mo GSM mtoto wa GSM na Rakin. Watoto wa kishua.
View attachment 2662463

Zayed Bakhressa ana account twitter mastaa wote wa bongo wamemfollow. Yaani akipost chochote unakuta mastaa wanajichekesha kwenye comment.

Dogo anaishi bongo kama yupo nje, anatembelea magari ya kifahari.

Ama kweli pesa sabuni ya roho na pesa inafanya dunia izunguke.
Dah Acha tu 😭😭😭
 
Ghalib au yule Salah hadi akamchora na tattoo?
Ila naona kama siku hizi mashauzi yamepungua, sidhani kama ana danga la maana
Karudo kwangu na Mimi nimembwaga tu mana marinda yote wameyamaliza. Na mkataba huu wa dp ngawio langu angeniumiza kichwa tu. Washtarkililmuhaddalina.
 
Ridhika na ulichonacho

unaweza ukaona kama wamemaliza lila kitu hawana changamoto kumbe ana tatizo hadi linamnyima usingizi

Jitu linamiliki utajiri wa Matrillion lakini Ngoma haisimami ipo kama mkufu hata uunyweshe mchuzi wa Pweza

wakati kuna Baba Joyce huko Njombe hana ghetto wala kitanda lakini kajaaliwa Neema hadi watoto wanatoroka shule hadi wanatafutwa na Jamhuri
 
Pichani ni mjukuu wa Bakhresa ajulikanaye kama Zayed Bakhressa (katikati) akiwa na Mo GSM mtoto wa GSM na Rakin. Watoto wa kishua.
View attachment 2662463

Zayed Bakhressa ana account twitter mastaa wote wa bongo wamemfollow. Yaani akipost chochote unakuta mastaa wanajichekesha kwenye comment.

Dogo anaishi bongo kama yupo nje, anatembelea magari ya kifahari.

Ama kweli pesa sabuni ya roho na pesa inafanya dunia izunguke.

Daaaaa kijana wa Yusuph ni copy kila kitu..
 
Pichani ni mjukuu wa Bakhresa ajulikanaye kama Zayed Bakhressa (katikati) akiwa na Mo GSM mtoto wa GSM na Rakin. Watoto wa kishua.
View attachment 2662463

Zayed Bakhressa ana account twitter mastaa wote wa bongo wamemfollow. Yaani akipost chochote unakuta mastaa wanajichekesha kwenye comment.

Dogo anaishi bongo kama yupo nje, anatembelea magari ya kifahari.

Ama kweli pesa sabuni ya roho na pesa inafanya dunia izunguke.
Mmependa kanzu tu Hapo wamenoga hatariii
 
Back
Top Bottom