much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Ha notorious naye alikuwa chawa wa akina DiddyHutendei haki avatar yako hutendei haki jina la N.BIG kwa uchawa wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha notorious naye alikuwa chawa wa akina DiddyHutendei haki avatar yako hutendei haki jina la N.BIG kwa uchawa wako
Vijana wabaya sana hawa , waliwahi mpiga Irene Uwoya mtungo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣, Halafu sasa hivi wanalialia Bandari isiuzwe🤣🤣Acha wale bata mzee. Wakati washua wao Wanahaso wazee wetu walikua wanapiganisha mbwa mtaani
Duu mpya hiiVijana wabaya sana hawa , waliwahi mpiga Irene Uwoya mtungo
Si ndio hapo? [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], Halafu sasa hivi wanalialia Bandari isiuzwe[emoji1787][emoji1787]
Nimecheka sana kwa hii comment yako mzee. Uliwaza nini sijui?Acha wale bata mzee. Wakati washua wao Wanahaso wazee wetu walikua wanapiganisha mbwa mtaani
AiseeeeeNa wewe ukaona usipitwe, uje ujichekeshe jf kama ana akaunti akuone.
cocasticVijana wabaya sana hawa , waliwahi mpiga Irene Uwoya mtungo
Unataka sema hizi shule zetu hazifai au zinatengeneza waajiriwa wengi badala ya waajiri wengiWanakutana IST.
Hapo ukifatilia wote urafiki wao umeanzia shuleni International school of Tanganyika
Hata Mo dewji na watoto wa Bakhressa ni marafiki wamesoma pamoja IST na chuo kikuu wamesoma pamoja Georgetown marekani
Unataka sema hizi shule zetu hazifai au zinatengeneza waajiriwa wengi badala ya waajiri wengi
Kweli nimeamini hela ndio kila kitu inamaana mbele ya mtoto mzuri kama uwoya kinacholeta heshima ni pesa na sio masters wala phdKosa lao ni lipi hapo? Si Irene kakubali mwenyew kupigwa collabo😂
😂 😂 😂 😂Vijana wabaya sana hawa , waliwahi mpiga Irene Uwoya mtungo
Tafuta hela upunguze chuki kwa matajiri,Majizi na mabaguzi
😂 😂 😂 😂Acha wale bata mzee. Wakati washua wao Wanahaso wazee wetu walikua wanapiganisha mbwa mtaani
Majizi na mabaguzi