Justine Marack
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 612
- 1,698
Ukweli ndio huo.
ZBC2 katika misimu kadhaa ya Nyuma waliwatumia Watangazaji wazoefu katika kutangaza mechi za kimataifa.
Lakini msimu huu, wanatia Watangazaji ambao hawana mvuto. Sio wabunifu, hawana mbwembwe.
Mpaka Sasa ukiangakia hakuna hasa au chachu iliyo letwa na WATANGAZAJI katika kukoleza sekta ya soka hasa Kwa watazamaji wa runinga.
Tunaomba Watangazaji wazoefu wahusuke sio hao wa Sasa
ZBC2 katika misimu kadhaa ya Nyuma waliwatumia Watangazaji wazoefu katika kutangaza mechi za kimataifa.
Lakini msimu huu, wanatia Watangazaji ambao hawana mvuto. Sio wabunifu, hawana mbwembwe.
Mpaka Sasa ukiangakia hakuna hasa au chachu iliyo letwa na WATANGAZAJI katika kukoleza sekta ya soka hasa Kwa watazamaji wa runinga.
Tunaomba Watangazaji wazoefu wahusuke sio hao wa Sasa