KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 92
Mkandara umeongeA Pointi kubwa sana, hawa watu(ze comedy) wana lengo la kuchekesha au kuburudisha kwa kutumia sanaa ya maonyesho, akiigizwa lowasa kwa nini iwe sawa lakini akiigizwa Slaa inakuwa Nongwa?
Tuache kuwa biased kwa kudhani kwamba wanaotakiwa kuigizwa ni viongozi wa ccm na serikali pekee na wala si wapinzani.
Isitoshe ze Comedy sidhani kama waliziponda hoja za Msingi za Slaa, nabadala yake naamini walimuigiza Slaa mwenyewe , sasa hapo ugomvi uko wapi?
Tusiue fasihi kwa sababu ya itikadi za kisiasa!.
Halafu hao wanaoamini kwamba Ze comedy wamefanya kosa la kiteknikali, kwa nini isiwe kwamba wao ndo wamechukua advantage ya kiteknikali, kwa sababu Mwanasiasa dokta Slaa sasa hivi ndo yuko Chati katika masikio ya watanzania wengi, sasa kwa nini ze comedy wasitumie nafasi hiyo kufanya vitu vyao?
Jamani mkuki kwa Nguruwe eh! kwa binadamu.....
Najua wapo watakaoniunga mkono na watakao nipinga. Kwa sababu wananchi hawana pesa ya kuwanunua Ze Comedy kama wafanyavyo akina Rostam Aziz silaha pekee tuliyonayo ni kuwazomea na kutoangalia kipindi chao. Comedy Ziiii! Comedy wanawatete mafisadi!!1 Kwanini hao ze Comedy wasioneshe pesa za wananchi zinavyoliwa? kwanini wasioneshe wagonjwa wanaolala chini sakafuni na wengine wanalala kitanda kimoja watu 4? Kwanini wasioneshe ubovu wa bara bara zetu na reli yetu wakati watu wanajenga mahekalu huko mbezi?
Ze comedy wasipoangalia watakufa natural death. Hawa ze Comedy hawajui wananchi ndio wateja wao wakuu? Jamani kwa wale wanaonieunga mkono lets us tuwakomeshe hawawanasiasa njaa Ze Copmedy.
Therefore, sidhani kama mimi au mwanaccm yoyote yule mwingine anatishwa na hizi kelele chache za wapinzani, zitaisha tu !
Maneno yapo juu ya mstari!Sasa kama ninyi mnataka kufanya hivyo ati kuwazomea au juhudi zozote zinazofanana na hizo,,, mimi nitawaona ninyi ndio mnamatatizo makubwa kuliko hao "Ze Commedy" Ama kweli JF inakosa muelekeo...
Hivi ni kwa kuwa mpendwa wenu ame-be-hurted,,, walivyokuwa wanamuiga Mudhihir ilikuwa poa!!!
Du! Yes binadamu ana mapungufu makubwa sana...
Haya tafuteni mbinu za kuwazomea "Ze Commedy"
Ama kweli JF inakosa muelekeo...
The next day baada ya kuharibu via TV nimtumia email program manager na kumwambia"vijana wako wameanza kuganga njaa vibaya watapoteza umaarufu soon na kuambulia a natural death"
Ninachoshangaa wanajua fika wananchi wana jazba na upotevu wa mali zao pamoja na ufisadi alafu wao wanautetea kwa kumponda Dr Slaa.
Fedha kitu kingine wajameni vijana wamenunuliwa bila kujau impact yake.
Mbaya zaidi pale nilipokuwa bar kila mtuu akangaka"oohhh ccm nao mpaka ze comedy???????!!!!!!!!!!".
Wasipoangalia umaarufu wao utatoweka kama kichaka kikavukilicholipuliwa kwa moto wa petroli
Kwa anayebisha kuhusu tuhuma hizi dhidi ya Slaa nasema: naweza kumtafuta mtu aliyeshuhudia "live" Padri Slaa akimla uroda chnagudoa (ambaye baadaye alikuja kumuoa baada ya kuacha upadri) kwenye nyumba ya Dayosisi pale Ngarenaro. Hiyo ni moja. Pili, Slaa alianza shughuli ya kujenga nyumba yake pale Kijitonyama akiwa bado ni padri na tena alimtumia mkandarasi wa TEC. Hii habari ilichapishwa hata kwenye gazeti la "Kiongozi" enzi hizo.