tofauti na EATV ambao wanadai kupewa umiliki wa Ze Komedy Juni 30 mwaka huu.
mambo hayo baadhi ya wakati wajanja wanapenda kuwaonea wanyonge na hasa shule ikiwa ndogo
mambo hayo baadhi ya wakati wajanja wanapenda kuwaonea wanyonge na hasa shule ikiwa ndogo
Hapo ndio na mie nashangaa aisee hwa EATV naona wanataka kuchukua advantage kwa hawa jamaa ili kuendeleza chuki ya Mengi na Manji.
...kabisaa!!!
imagine hata Masanja hatakiwi kulitumia jina la "masanja", soon JOTI naye atakatazwa kutumia manjonjo ya ki "JOTI JOTI",
haipendezi wala haifurahishi EATV na reputation yao kung'ang'ania 'tonge' la hawa jamaa...
haipendezi!
sikuwa mshabiki wa Manji Vs Mengi saga, lakini kidogo kidogo naanza kuona "wagombanapo mafahari wawili nyasi ndizo ziumiazo!"
Kwani ze Comedy ni jina la kikundi au la kipindi?
Kama ni jina la kipindi basi EATV watakuwa na haki nalo, ila iwapo ni jina la kikundi kilichosajiliwa basi wanaondoka na jina lao.
Majina ya waigizaji kama Joti, Masanja n.k hayamilikiwi na EATV.