Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana...😀Ningekuwa mimi ndo wao, ningebadilisha kutoka "ZE Comedy" to "The Comedy." Mchezo kwisha.
Kwani ze Comedy ni jina la kikundi au la kipindi?
Kama ni jina la kipindi basi EATV watakuwa na haki nalo, ila iwapo ni jina la kikundi kilichosajiliwa basi wanaondoka na jina lao.
Majina ya waigizaji kama Joti, Masanja n.k hayamilikiwi na EATV.
Ningekuwa mimi ndo wao, ningebadilisha kutoka "ZE Comedy" to "The Comedy." Mchezo kwisha.
Hii imetulia!!!
Safi sana...😀
Ningekuwa mimi ndo wao, ningebadilisha kutoka "ZE Comedy" to "The Comedy." Mchezo kwisha.
Nadhani ni fundisho kwetu sote. Ni vyema sote tukajifunza nini maana ya mkataba na athari zake. Mara nyingi tumekuwa tukisaini bila ya kusoma "fine prints"
vijana wanajituma .. vijisenti gani hivyo vya kupigania .. Mengi haoni hata aibu kuwakwamisha watoto wadogo kama hao? anataka wawe majambazi au ... yeye mbona anawaendeleza watoto wake ...
Lakini kweli Mungu alisema tajiri kuingia peponi ........ kumbe ni hayo