...ndio yale yale, mke anakukataa unamnyang'anya kanga, mpaka chupi ulizomnunulia, kisa weye ndio uliyemnunulia, hivyo aondoke mwenyewe kama alivyokuja!
mimi nawashauri ikiwezekana kina Seki na wenzake wawaachie EATV hilo jina na hizo characters, tuone kama EATV wataendeshaje ZE Comedy na actors wapya,
...au ndio itabakia 'kujifariji na harufu ya nguo', eti umemkomoa mtu!
Hizo sheria na hakimiliki zinakuwa 'valid' sababu Ze Comedy wameachana na EATV tu? kuna mangapi na wangapi Tanzania hii wanadhulumiwa hakimiliki zao hapa Tanzania kunakochangiwa na vituo 'kama' hivi vya radio na Tv,
...au ndio mnyonge hana haki, na kwakuwa EATV imeshika mpini, vijana wamekamata makali?
Acheni roho mbaya jamani,