Kuna laana hata kama mtu sio mzazi wako, malipo ni hapa hapa.
Wale watoto (Joti na Mpoki) Walikuwa pale na walikuwa wanalazimishwa enzi hizo mpaka director wao Seki, wanacheza cheza tu, hovyo kabisa wakaingia EATV wakapata umaarufu, wakapata umaarufu, wakajifanya wajanja, Hakuna mwanzo usiokuwa na Mwisho!.
Kauli za masanja ni mbovu sana bora watu wengine wowote lakini sio masanja!