Zelensky ahudhuria mkutano wa jumuiya ya waarabu jijini Jeddah

Zelensky ahudhuria mkutano wa jumuiya ya waarabu jijini Jeddah

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kiwjingu cha safari za kushtukiza cha raisi wa Ukraine, Zelenky zimempeleka mpaka kwenye mkutanao wa jumuiya ya waarabu jijini Jeddah.

Akiwa ndani ya mkutano huo Zelensky alikiri kuwa ni taifa moja tu la kiarabu lililoiunga mkono Urusi katika uvamizi wake kwa taifa lake, taifa ambalo ni Syria.

Akaongeza kwa kusema mataifa yaliyobaki yote yamejifanya kama yana chongo na hayaoni kinachoendelea kufanywa na Urusiikwa nchi yake. Mwishowe akawaambia amekwenda kwenye kikao hicho kuwaambia wajiangalie upya na kuchukua msimamo wa haki katika vita hivyo.

1684567049599.png
 
Anachokifanya USA ku organize wengine wajiunge ndiv anavyotekeleza. Anatafuta huruma.

Kilichonichekesha zaidi ni pale mwanzo Russia kiwaondoa watoto na wakina mama.

Pale alitumia Sheria za vita kitowapiga civilian.
 
Sijui akija kwetu Afrika atatwambia nini .Insonekana atatutishia kwa chakula na njaa zetu.
Aje kuchukua nini Africa , waafrika hata toilet paper ya kufutia mikundu inatushinda kununua . Yeye ndio anatumisha misaada ya Chakula , Ngano Africa .
 
Anachokifanya USA ku organize wengine wajiunge ndiv anavyotekeleza. Anatafuta huruma.

Kilichonichekesha zaidi ni pale mwanzo Russia kiwaondoa watoto na wakina mama.

Pale alitumia Sheria za vita kitowapiga civilian.
Kwamba aliwaondoa ili alipue makaz yao , hiyo ni sahihi ? Atawajengea baada ya vita ?
 
Back
Top Bottom