Zelensky ahudhuria mkutano wa jumuiya ya waarabu jijini Jeddah

Zelensky ahudhuria mkutano wa jumuiya ya waarabu jijini Jeddah

Kwann hamkutafuta suluhu mwanzon Idd amin alipowavamia ?
Siasa za mwalimu Nyerere.Ugomvi wake na Idi Amin na urafiki wake na Obote. Kwenye siasa hata hapo Ukraine kuna ujinga mwingi sana.Watu wanakufa na kuwa maskini bure kwa ubongo wa mtu mmoja.Huyu anayezunguka dunia nzima kuomba silaha aipige Urusi.
 
Kajamaa kajinga sana, yaani unafunga safari kwenda kwenye kikao cha watu kuwapiga mkwara!
 
Zelensky ni mafia sana maana anaweza kwenda kokote atakako na anafanikiwa...
 
Anaangaika bure,unawezaje kulazimisha watu wakuunge mkono yeye aendelee na mabwana zake wa Western country's.
Katumwa pale na USA ili kuwavuruga waarabu wajisikie guilt kwa kukataa kufuata sera za foreign policy za Merikani za kutaka Urusi itengwe karibu na mataifa yote Duniani - sera za kipumbavu kabisa na roho mbaya, kwa nini wewe unataka utendewa vitu vizuri ambavyo wewe utaki wenzako watendewa??
 
Sijaelewa haya mapicha, bora ungeweka ya wale wapiganaji wa dini yenu akina ISIS
Talking as if you have no idea that actually the brains behind ISIS and Daesh terrorists recruitment were a well known American Intel Agency.

Husiwawafanye watu wajinga bwana!! Ina maana hukumsikia juzi juzi hapa Biden akisema kwamba atawaita tena wakuunzi wa ugaidi waje nchini Ukraine ku-recruit magaidi halafu wapenyrzwe kwenye njia zapanya kwenda kufanya ugaidi Irusi hata kama ni kitumia maghari madogo yenye high plosives au improvised high explosives zinazo tummia yank shells na kulipuliwa kwa kitumia mobile phones etc - Biden yuko very determined kujaribu kulipiza chuki binafsi dhidi ya Putin hata katika ujinga wake huo ukisababisha WW3 yeye anaona ni balabala tu.
 
Kajamaa kajinga sana, yaani unafunga safari kwenda kwenye kikao cha watu kuwapiga mkwara!
Kinakimbia ili kisitolewe pumzi na makomando wa Urusi au high precision missile za Russia just in case akirudi nchini Ukraine kimya kimya.

Anajua fika alivyo jaribu kumuua Putin kwa kutumia drones - anajuwa fika warusi wakiwa na uhakika alipo jificha nchini Ukraine watamumaliza bila simile.
 
Talking as if you have no idea that actually the brains behind ISIS and Daesh terrorists recruitment were a well known American Intel Agency.

Husiwawafanye watu wajinga bwana!! Ina maana hukumsikia juzi juzi hapa Biden akisema kwamba atawaita tena wakuunzi wa ugaidi waje nchini Ukraine ku-recruit magaidi halafu wapenyrzwe kwenye njia zapanya kwenda kufanya ugaidi Irusi hata kama ni kitumia maghari madogo yenye high plosives au improvised high explosives zinazo tummia yank shells na kulipuliwa kwa kitumia mobile phones etc - Biden yuko very determined kujaribu kulipiza chuki binafsi dhidi ya Putin hata katika ujinga wake huo ukisababisha WW3 yeye anaona ni balabala tu.

Hao ni wapiganaji wa dini yenu acheni kuwakana, wanafuata haya maagizo

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Kiwjingu cha safari za kushtukiza cha raisi wa Ukraine, Zelenky zimempeleka mpaka kwenye mkutanao wa jumuiya ya waarabu jijini Jeddah.

Akiwa ndani ya mkutano huo Zelensky alikiri kuwa ni taifa moja tu la kiarabu lililoiunga mkono Urusi katika uvamizi wake kwa taifa lake, taifa ambalo ni Syria.

Akaongeza kwa kusema mataifa yaliyobaki yote yamejifanya kama yana chongo na hayaoni kinachoendelea kufanywa na Urusiikwa nchi yake. Mwishowe akawaambia amekwenda kwenye kikao hicho kuwaambia wajiangalie upya na kuchukua msimamo wa haki katika vita hivyo.

zeleski ameomba kuja kuhutubia- dodoma kwenye bunge la bajeti
 
Kinakimbia ili kisitolewe pumzi na makomando wa Urusi au high precision missile za Russia just in case akirudi nchini Ukraine kimya kimya.

Anajua fika alivyo jaribu kumuua Putin kwa kutumia drones - anajuwa fika warusi wakiwa na uhakika alipo jificha nchini Ukraine watamumaliza bila simile.
kanajua nini kamefanya, ndio maana kanazulula zulula kama mchawi
 
Kiwjingu cha safari za kushtukiza cha raisi wa Ukraine, Zelenky zimempeleka mpaka kwenye mkutanao wa jumuiya ya waarabu jijini Jeddah.

Akiwa ndani ya mkutano huo Zelensky alikiri kuwa ni taifa moja tu la kiarabu lililoiunga mkono Urusi katika uvamizi wake kwa taifa lake, taifa ambalo ni Syria.

Akaongeza kwa kusema mataifa yaliyobaki yote yamejifanya kama yana chongo na hayaoni kinachoendelea kufanywa na Urusiikwa nchi yake. Mwishowe akawaambia amekwenda kwenye kikao hicho kuwaambia wajiangalie upya na kuchukua msimamo wa haki katika vita hivyo.

Waosha huoshwa. Mbona yeye taifa lake halijawahi kukemea mataifa mengine yanapovamiwa na mauaji ya wapalestina pale mashariki ya kati? Hao wengine wote wanamuunga mkono Russia indirectly
 
Back
Top Bottom