Sijui akija kwetu Afrika atatwambia nini .Insonekana atatutishia kwa chakula na njaa zetu.Kwaiyo Zelensky anawafokea waarabu sio?
Anyway akamilishe kazi aliyotumwa na maboss ake USA, asitafute Watu uchawiView attachment 2628437
.Zelesky ana vituko mno. Utadhani ameahidiwa jannah na USA
World president lazima wamuheshimu, nyuma ya Zelensky ni hatari jamaa wote wanampa saluteZelesky ana vituko mno. Utadhani ameahidiwa jannah na USA
Nyuma ya Zelensky ni mabosi wanaoziendesha nchi za waarabu lazima wamuheshimuKwaiyo Zelensky anawafokea waarabu sio?
Anyway akamilishe kazi aliyotumwa na maboss ake USA, asitafute Watu uchawiView attachment 2628437
Russia is poor giant
Aje kuchukua nini Africa , waafrika hata toilet paper ya kufutia mikundu inatushinda kununua . Yeye ndio anatumisha misaada ya Chakula , Ngano Africa .Sijui akija kwetu Afrika atatwambia nini .Insonekana atatutishia kwa chakula na njaa zetu.
Mkuu punguza hasiraHaya waarabu wa Bongo punguzeni hasira maana amewakosha waarabu asili, nyie wa kuiga uarabu mnapaswa msikilize wale....
Da! Kuna watu wanaona mbali sana. Watu wanafikili Russia alikurupuka, mnaweza mkaunganisha doti hapa na kama mna akili timamu, mtagundua kituKwaiyo Zelensky anawafokea waarabu sio?
Anyway akamilishe kazi aliyotumwa na maboss ake USA, asitafute Watu uchawiView attachment 2628437
Kavaiwa lknZelesky ana vituko mno. Utadhani ameahidiwa jannah na USA
Hata wao waliwacheka wenzao waliokimbilia NATO enzi hizo ila leo wanalia wao amini muda si mrefu WAGNER wanakuja east utajuta si drc ni jiran yenuZelesky ana vituko mno. Utadhani ameahidiwa jannah na USA
Kwamba aliwaondoa ili alipue makaz yao , hiyo ni sahihi ? Atawajengea baada ya vita ?Anachokifanya USA ku organize wengine wajiunge ndiv anavyotekeleza. Anatafuta huruma.
Kilichonichekesha zaidi ni pale mwanzo Russia kiwaondoa watoto na wakina mama.
Pale alitumia Sheria za vita kitowapiga civilian.
Kwann hamkutafuta suluhu mwanzon Idd amin alipowavamia ?Hali ikiwa ngumu watu wanatafuta suluhu yeye anaomba silaha tena na matusi juu.