Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,926
- 15,634
Uingereza yaripoti kuwa Zelensky amekiri kuwa Counter offensive imeshindwa kwenda kama walivyopanga. Zele adai sababu ni kuwa Urusi imetumia kila resource iliyo nayo kuzuia ufanisi wa Counter offensive ya Ukraine + Marekani + NATO.
Kumbe ndo maana waUkraine wa Kibaigwa wamekuwa kimya kwa muda mrefu hapa jukwaani licha ya kuwa wapo kwenye Counter-offensive.
===
Kumbe ndo maana waUkraine wa Kibaigwa wamekuwa kimya kwa muda mrefu hapa jukwaani licha ya kuwa wapo kwenye Counter-offensive.
===