mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Picha huzungumza vizuri zaidi, hasa kama ikipigwa bila mtu kujua anapigwa picha!! Kwenye picha hii Zelensky anaonekana kuduwaa, kushangaa, haamini kama kikao kimekwisha na wajumbe wote wako bize kufurahi na kupongezana.
Wakati wenzake wanachangamkiana yeye anajiona mpweke! ni kama wamemsusa kisayansi, hakuna anayemchangamkia!!
Zelensky alitarajia kikao cha NATO kitamtakia wakati maalumu atakapojiunga na NATO!! Haikuwa hivyo! Na aliwatukana wajumbe wa NATO kwenye akaunti yake ya twitter akasema "wamefanya jambo la kipumbavu ambalo halina mfano huko nyuma"-unprecedented absurd!!.
Sasa hapa wakaamua kumchunia, akajikuta hachangamkiwi na yeyote!! Unajua matendo yana nguvu kuliko maneno, hata kama baadaye walimwahidi kuendelea kumpa misaada lakini hali halisi amejionea mwenyewe!!
Wakati wenzake wanachangamkiana yeye anajiona mpweke! ni kama wamemsusa kisayansi, hakuna anayemchangamkia!!
Zelensky alitarajia kikao cha NATO kitamtakia wakati maalumu atakapojiunga na NATO!! Haikuwa hivyo! Na aliwatukana wajumbe wa NATO kwenye akaunti yake ya twitter akasema "wamefanya jambo la kipumbavu ambalo halina mfano huko nyuma"-unprecedented absurd!!.
Sasa hapa wakaamua kumchunia, akajikuta hachangamkiwi na yeyote!! Unajua matendo yana nguvu kuliko maneno, hata kama baadaye walimwahidi kuendelea kumpa misaada lakini hali halisi amejionea mwenyewe!!