Zelensky athibitisha kuwa Bakhmut yote imetekwa na Urusi

Zelensky athibitisha kuwa Bakhmut yote imetekwa na Urusi

Na sisi hatutetegemei matamko, tunasukuma ndani...
nyie ndio makelele mengi..!Mwanaume Russia hana muda na Media, ni kwa masuala ya msingi tu. Ushaona Putin anazungumzia zungumzia mambo hayo ila Biden hata akiwa na familia yake aachi kuiongelea Vita na Russia.
 
nyie ndio makelele mengi..!Mwanaume Russia hana muda na Media, ni kwa masuala ya msingi tu. Ushaona Putin anazungumzia zungumzia mambo hayo ila Biden hata akiwa na familia yake aachi kuiongelea Vita na Russia.

Kwa sasa hawezi kujitokeza, amekua mwoga mwoga drone zinamkuta ikulu hivyo hata hao media anawaogopa sasa, hebu ona hata salamu kwa mtoto huwa shughuli....

_-20-11-jpg.2467859
 
Kwa sasa hawezi kujitokeza, amekua mwoga mwoga drone zinamkuta ikulu hivyo hata hao media anawaogopa sasa, hebu ona hata salamu kwa mtoto huwa shughuli....

_-20-11-jpg.2467859
Tatizo huko 254 ushashiba ugali wako unaleta propaganda za ruto na raila hapa
 
Deutsche Welle (DW) ya Ujeumani yaripoti kuwa Zelensky amethibitisha kuwa mji wa Bakhmut wote umeshatekwa na majeshi ya Urusi.

Hayo yamejiri leo jumapili wakati Bwana Zele alipokuwa kwenye mkutano wa G7 na mabosi wake ambapo mabosi wake walimuuliza Zele kama Ukraine inamiliki walau kamtaa kwenye mji wa Bakhmut.

Bwana Zele akashindwa kuwaongopea mabosi wake, hatimaye kwa masikitiko makubwa na uso uliojaa fedheha iso na kifani akajibu HAPANA, Ukraine kwa sasa haimiliki sehemu yoyote ya Bakhmut, si tu mtaa bali hata kanyumba kamoja.

Cc: MK254

=======

View attachment 2629692
View attachment 2629693
....
 
Kama unasikia lugha za watu huyo hapo zelensky anakili mwenyewe kabisa. Analaumu Russia kuharibu majengo na miundombinu ya bukhmut wakati majeshi yake zelensky ndo yalikuwa yanajificha kwenye makazi ya watu, Wagner wakawa wanawapelekea Moto uko uko majengo yanalipuliwa tu.
Hongera kwa WARGNER
 
Kwann huu Uzi Mods wameu pin huku juu?
Kwasababu habari hii imeletwa na vyanzo vya uhakika vya habari duniani na nchi za magharibi yaani DW.

Vyombo vingine vimekuwa vyapiga danadana.
 
Kwakweli sijajua lengo la Uzi huu kufungwa.

Naona sahivi unaweza comment. Nilijua mwanzo Mods ni Team NATO.
 
Back
Top Bottom