Zelensky athibitisha kuwa Bakhmut yote imetekwa na Urusi

Zelensky athibitisha kuwa Bakhmut yote imetekwa na Urusi

Ujifunze kufanya copy pasting ya taarifa zote, mbona umeepuka kuweka hii paragraph

The claim that the city has been captured was disputed on Saturday by Ukrainian officials, who said fighting to control the city continued.​


Ukraine's Deputy Defense Minister Hanna Maliar said heavy fighting was continuing.
acha ushabiki wa kimaandazi wewe zuzu, unaleta habaria ya jumamosi mwenzako kaleta taarifa ya jana jumapili
 
Vyombo vya habari ni tool muhimu propaganda

Urusi inawalipa CNN na Chombo.cha habari cha Ujerumani cha Dw

Russia baada ya vyombo vyao vya habari kupigwa pini kimataifa wanahonga CNN na DW

Rushwa iko kona
Leo Tena Russia wawahonge wamarekani cnn[emoji38]
 
Weka picha hayo maeneo nyeti waliyoko tuyaone
maneno ya khanga hatuyataki,
Kwani wewe uliweka maeneo Urusi waliyokwapua? wewe una support kauli ya Wagner ambayo imepingwa na Rais wa Ukrean lakini pia Kamanda mkuu wa Ukraine ambako battle bado inaendelea.
 
Kwani wewe uliweka maeneo Urusi waliyokwapua? wewe una support kauli ya Wagner ambayo imepingwa na Rais wa Ukrean lakini pia Kamanda mkuu wa Ukraine ambako battle bado inaendelea.
Sikusapot kauli tu imetumwa video wakiwa bakhmut tuna picha ya maeneo yote ya bakhmut tatizo mnakurupuka sana wekeni picha bakhmut sehemu gani mnapigana blah blah hatutaki!
 
Ndio maana siku zote usema wakati mwingine ni vigumu kumuelewa MK-254, leo hii Rais Zelensky mwenyewe kakiri kwamba amepoteza Bakhamut - lakini yeye anaganganiza kutuletea habari za jana kutoka. kwa highly questionable General.
Huyu angekua ni duu basi mpaka umuone na ujauzito ndio unaweza kumbananisha kua wanampiga ukuni...hivi hivi atakukana hata umkute wanasimamia kucha yeye atakazia walikua wamekumbatiana kusalimiana
 
Tunasema hizi habari za Russia ku take control bakhmuti jana zilisambaa sana kwenye vyombo vya habari zote CNN, BBC, Aljazeera nk., lakini walivyokuwa wanazitoa wao kwenye television zote hizo walikuwa wanabalance na habari ya wakati huo huko Kamanda wa Ukraine yeye anakataa bakhmut kuwa mikononi mwa Russia, na alisema vita inaendelea na kuna maeneo muhimu zaidi ya viwanda yapo chini ya Ukraine katika mji ambao Russia wanadi kuuteka.

Kumbukuka Russia walipovamia mji wa bakhmuti awali walidai tayari washauteka bakhmut sasa bakhmut inakuwa captured mara ngapi?? siku zile na sasa

Ndio maana habari zako za ku-copy na ku-paste za DW bila kueleza upande wapili sisi tunasema hizo habari iwekwe kwa dustbin, hatuwezi kuifanyia kazi.
Ndioo imebaki mioyoni mwa wanazi..
 
Hizi habari za ku-copy na kupaste ni shida sana kwa vyanzo vya habari, habari za kutekwa mji wa bakhmut na russia zilienea sana vyombo vyote vya habari wakimnukuu kiongozi wa Wagner Group kwa wanajeshi kadhaa kusimama juu ya jengo bovu na kupeperusha bendera jengo ambalo halijulikani kama hata ni la nchi ya Ukraine.

Ukweli ni kwamba licha ya hizo habari kutoka jana wakati huo huo kulikuwa kauli ya Kamanda wa Ukraine akisema bado bakhmut imo mikononi mwao na bado maeneo nyeti ya mji kama viwanda Ukraine wenywe ndio wanashikilia sasa unapokuja hapa eleza kilichojiri sio ufurukutwa wa dikteta putin
Unakubali kimoyomoyo..ukrain hamiliki chochote bakhmut
 
Mkuu Aljazeera nimekesha nayo sana wametoa hiyo habari ya Kamanda mkuu wa Wagner kwamba bakhmut wameiteka lakini wakati huo huo wamebalance kwa kauli ya Kamanda wa Ukraine akikiri bakhmut bado imo mikononi mwao hasa kwenye maeneo nyeti kati ya mji ambao Russia wanadai kuuteka.
Imeenda hiyo...haiponyoki tena kama mwanzo kufukuzana kama "kigori" siku ya kwanza...
 
Kauli ya Kamanda wa Ukraine jana alivyosema kuhusu bakhmut utajua how lier proPutin you are nyinyi mnapelekeshwa kwa propaganda za muda mfupi halafu munapoteana hapa jf,

Aliemtuma Zele aseme hawamiliki chochote bakhmut ya zaman kabla ya jana jumapili ni nn? Haoni anawavunja morali wajeda wake? Jipu limetumbuka hilo..
 
Aliemtuma Zele aseme hawamiliki chochote bakhmut ya zaman kabla ya jana jumapili ni nn? Haoni anawavunja morali wajeda wake? Jipu limetumbuka hilo..
Zelensky mulimuongezea maneno kauli yake hiyo hapa ipo live Aljazeera akiwa Japan mkutano na G7
tafuta mtu akusaidie kusoma kiingereza

f644c62e-69e3-4b2f-a349-ce0241badb3b.jpg
 
Back
Top Bottom