Zelensky athibitisha kuwa Bakhmut yote imetekwa na Urusi

Zelensky athibitisha kuwa Bakhmut yote imetekwa na Urusi

Ila mkuu hapa majuzi, wewe ukiongozwa na BBC mlituaminisha Wagner wame retreat leo yako wapi mkuu.
Waliokimbia ni wanajeshi wa Urusi waliokuwa walinzi wa Franks ili Wagner waendelee kupiga deeply.ndio maana Ukraine Bado haijaretreat kwa kuwa Bado wanapigana kwenye frank for encircement.Ili utangagaze lazima ushikurie franks zote ili Baki salama katikati
 
Ujifunze kufanya copy pasting ya taarifa zote, mbona umeepuka kuweka hii paragraph

The claim that the city has been captured was disputed on Saturday by Ukrainian officials, who said fighting to control the city continued.​


Ukraine's Deputy Defense Minister Hanna Maliar said heavy fighting was continuing.
Tatizo uko nyuma ya wakati!! Unanukuu taarifa ya jana jumamosi wakati wenzako wanakupa taarifa ya leo jumapili!!
 
Ndio maana siku zote usema wakati mwingine ni vigumu kumuelewa MK-254, leo hii Rais Zelensky mwenyewe kakiri kwamba amepoteza Bakhamut - lakini yeye anaganganiza kutuletea habari za jana kutoka. kwa highly questionable General.
Hakuna sehemu Zelesky kakiri Bakmut kuchukuliwa leo amekanusha acheni propaganda na unafiki
 
Deutsche Welle (DW) ya Ujeumani yaripoti kuwa Zelensky amethibitisha kuwa mji wa Bakhmut wote umeshatekwa na majeshi ya Urusi.

Hayo yamejiri leo jumapili wakati Bwana Zele alipokuwa kwenye mkutano wa G7 na mabosi wake ambapo mabosi wake walimuuliza Zele kama Ukraine inamiliki walau kamtaa kwenye mji wa Bakhmut.

Bwana Zele akashindwa kuwaongopea mabosi wake, hatimaye kwa masikitiko makubwa na uso uliojaa fedheha iso na kifani akajibu HAPANA, Ukraine kwa sasa haimiliki sehemu yoyote ya Bakhmut, si tu mtaa bali hata kanyumba kamoja.

Cc: MK254

=======

View attachment 2629692
View attachment 2629693
Zele amejichanganya sana mpaka anatia huruma.Wakaja makamanda wake wakajaribu kusahihisha kumbe ndio wanazidi kukoroga,Wanasema wapo kwenye sehemu ambayo si muhimu kamwe lakini wako karibu kuizunguka Bakhmut yote.
Mrusi amejua siku ya kutoa tangazo wakati Zelensky yuko mbele ya mabosi wake.Baada ya kuondoka pale kwenye ukumbi wa waandishi wa habari akajitoa kimasomaso kwenye telegram.Eti hawezi kutoa siri zote za vita lakini Bakhmut bado haiko mikononi mwa Urusi.
 
Nahisi umechanganyikiwa Mkuu, unakopi habari ya DW ya jana jumamosi (Saturday) tena toka kwa viongozi uchwara wa Ukraine halafu wasiotajwa majina wakati mie habari hii niliyoileta ni ya leo leo jumapili tena hata lisaa limoja halijapita toka iripotiwe...na zaidi ya yote inatoka kwa Rais wa Ukraine Bwana Zelensky akiongea officially kwenye mkutano wa G7.

View attachment 2629719
Vyombo vya habari ni tool muhimu propaganda

Urusi inawalipa CNN na Chombo.cha habari cha Ujerumani cha Dw

Russia baada ya vyombo vyao vya habari kupigwa pini kimataifa wanahonga CNN na DW

Rushwa iko kona
 
Vyombo vya habari ni tool muhimu propaganda

Urusi inawalipa CNN na Chombo.cha habari cha Ujerumani cha Dw

Russia baada ya vyombo vyao vya habari kupigwa pini kimataifa wanahonga CNN na DW

Rushwa iko kona
Wewe maji yamekufika shingoni tulia dozi ikuingie taratibu.
 
Hatuwezi kufanyia kazi habari DW mara zote huandika habari tofauti sana hawa hawa DW ndio walisema bakhmut imeanguka mwezi uliopita sasa leo wanakuja na kauli nyengine sasa swali ni Bakhmut inaanguka mara ngapi?? Kamanda wa Ukraine anasema battle inaendelea tena kwa huko upande wa magharibi mwa mjia bakhmut
 

Attachments

  • Screenshot_20230521-173150.png
    Screenshot_20230521-173150.png
    106 KB · Views: 3
Mkuu, MK254 sio kwamba haelewi kuwa Bakhmut imeshatekwa na Urusi, anaelewa vema. Lakini anajaribu kuficha uso wake kwa aibu na fedheha iliyompata maana aliaminishwa kuwa silaha za Marekani (HIMARS, HARM)+ Uingereza (Storm Shadow long range cruise missiles, Challenger 2 tank, M777 howitzer) + Ujerumani (Leopard 2 tank) + France (Caesar self propelled howitzer, LRU multiple-launch rocket systems) + NATO kwa ujumla zingeilinda Bakhmut dhidi ya zile za Urusi, lakini zimefeli.

Akikubali hadharani kuwa Bakhmut imeanguka ni sawa na yeye kukubali hadharani kuwa silaha za Marekani + Uingereza + Ujeumani + France + NATO kwa ujumla ni dhaifu mbele ya zile za Urusi...kitu ambacho yeye MK254 hayupo tayari kukikubali hadharani na kutangaza...anaishia kukikubali moyoni tu tena kwa maumivu makali mno!
Kwa Majina hizo siraha zinatisha, ila UWANJANI hazieleweki wajameni!
 
Deutsche Welle (DW) ya Ujeumani yaripoti kuwa Zelensky amethibitisha kuwa mji wa Bakhmut wote umeshatekwa na majeshi ya Urusi.

Hayo yamejiri leo jumapili wakati Bwana Zele alipokuwa kwenye mkutano wa G7 na mabosi wake ambapo mabosi wake walimuuliza Zele kama Ukraine inamiliki walau kamtaa kwenye mji wa Bakhmut.

Bwana Zele akashindwa kuwaongopea mabosi wake, hatimaye kwa masikitiko makubwa na uso uliojaa fedheha iso na kifani akajibu HAPANA, Ukraine kwa sasa haimiliki sehemu yoyote ya Bakhmut, si tu mtaa bali hata kanyumba kamoja.

Cc: MK254

=======

View attachment 2629692
View attachment 2629693
Acha uongooo mkuu nyinyi pro putin mnaishi kwa uongo sanaa

379CF644-F6B3-4EB0-A8BD-7A7B42EE03A8.jpeg


314F8597-92E4-475B-94DF-9D373522DB34.jpeg


Hiyo ni breaking news Aljazeera baada Russia kudai wameichukua bakhmut, nadhan kiingereza kinakupiga chenga maneno ya Zelensky ni hayo sio hayo uliyopika wewe na pro putini wenzakoo

Marekani wametoa 37$ Milioni kuzidi kumshughulikia huyo kenge wako, hizi ni habari mbaya ambazo putin hapendi kuzisikia kila mara
 
Ujifunze kufanya copy pasting ya taarifa zote, mbona umeepuka kuweka hii paragraph

The claim that the city has been captured was disputed on Saturday by Ukrainian officials, who said fighting to control the city continued.​


Ukraine's Deputy Defense Minister Hanna Maliar said heavy fighting was continuing.

Kazi imeisha jamaa wameshamaliza kazi waliyotumwa na president Putin angalia hapo.
Elon anataka kutembelea hilo jimbo baada ya kuwa chini ya Russia.
 
Back
Top Bottom