Zelensky athibitisha kuwa Bakhmut yote imetekwa na Urusi

Zelensky athibitisha kuwa Bakhmut yote imetekwa na Urusi

Nahisi umechanganyikiwa Mkuu, unakopi habari ya DW ya jana jumamosi (Saturday) tena toka kwa viongozi uchwara wa Ukraine halafu wasiotajwa majina wakati mie habari hii niliyoileta ni ya leo leo jumapili tena hata lisaa limoja halijapita toka iripotiwe...na zaidi ya yote inatoka kwa Rais wa Ukraine Bwana Zelensky akiongea officially kwenye mkutano wa G7.

View attachment 2629719
Hatuwezi kufanyia kazi habari DW mara zote huandika habari tofauti sana hawa hawa DW ndio walisema bakhmut imeanguka mwezi uliopita sasa leo wanakuja na kauli nyengine sasa swali ni Bakhmut inaanguka mara ngapi?? Kamanda wa Ukraine anasema battle inaendelea tena kwa huko upande wa magharibi mwa mjia bakhmut
 
Deutsche Welle (DW) ya Ujeumani yaripoti kuwa Zelensky amethibitisha kuwa mji wa Bakhmut wote umeshatekwa na majeshi ya Urusi.

Hayo yamejiri leo jumapili wakati Bwana Zele alipokuwa kwenye mkutano wa G7 na mabosi wake ambapo mabosi wake walimuuliza Zele kama Ukraine inamiliki walau kamtaa kwenye mji wa Bakhmut.

Bwana Zele akashindwa kuwaongopea mabosi wake, hatimaye kwa masikitiko makubwa na uso uliojaa fedheha iso na kifani akajibu HAPANA, Ukraine kwa sasa haimiliki sehemu yoyote ya Bakhmut, si tu mtaa bali hata kanyumba kamoja.

Cc: MK254

=======

View attachment 2629692
View attachment 2629693
Mdogo mdogo somo litaeleweka.
 
Hatuwezi kufanyia kazi habari DW mara zote huandika habari tofauti sana hawa hawa DW ndio walisema bakhmut imeanguka mwezi uliopita sasa leo wanakuja na kauli nyengine sasa swali ni Bakhmut inaanguka mara ngapi?? Kamanda wa Ukraine anasema battle inaendelea tena kwa huko upande wa magharibi mwa mjia bakhmut
itakua bado umelala waulize na al jazeera nao!
 
[emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635]
IMG_20230521_122523.jpg
IMG_20230521_122425.jpg
 
Nahisi umechanganyikiwa Mkuu, unakopi habari ya DW ya jana jumamosi (Saturday) tena toka kwa viongozi uchwara wa Ukraine halafu wasiotajwa majina wakati mie habari hii niliyoileta ni ya leo leo jumapili tena hata lisaa limoja halijapita toka iripotiwe...na zaidi ya yote inatoka kwa Rais wa Ukraine Bwana Zelensky akiongea officially kwenye mkutano wa G7.

View attachment 2629719
Ndio maana siku zote usema wakati mwingine ni vigumu kumuelewa MK-254, leo hii Rais Zelensky mwenyewe kakiri kwamba amepoteza Bakhamut - lakini yeye anaganganiza kutuletea habari za jana kutoka. kwa highly questionable General.
 
Hatuwezi kufanyia kazi habari DW mara zote huandika habari tofauti sana hawa hawa DW ndio walisema bakhmut imeanguka mwezi uliopita sasa leo wanakuja na kauli nyengine sasa swali ni Bakhmut inaanguka mara ngapi?? Kamanda wa Ukraine anasema battle inaendelea tena kwa huko upande wa magharibi mwa mjia bakhmut
Usijali mkuu, fanyia kazi habari ya Biden, The Washington Post, ambapo Zelensky ameripotiwa akisema Bakhmut imebaki tu kwenye mioyo ya waUkraine wakiitamani, lakini inamilikiwa na Urusi kwa sasa

Screenshot_20230521-121334_Chrome.jpg
 
Ha ha ha haa.
Jinsi unavyoiandika habari hii ni entertainment tosha kabisa.
Unareport kwa mbwembwe na madaha sana..
Ila ushindi mtamu asikuambie mtu.
Mrusi mwacheni achukue tu maeneo hiyo ndiyo gharama ya silaha za Urusi na askari zinavyolipiwa Mrusi anajilipa kabisa magharibi wanamkopesha aje kulipa UKRAIN baada ya vita kuisha sasa cjui hapa mjanja nani hahahahah ila kwa tulisoma Cuba tunaeelewa
 
Hatuwezi kufanyia kazi habari DW mara zote huandika habari tofauti sana hawa hawa DW ndio walisema bakhmut imeanguka mwezi uliopita sasa leo wanakuja na kauli nyengine sasa swali ni Bakhmut inaanguka mara ngapi?? Kamanda wa Ukraine anasema battle inaendelea tena kwa huko upande wa magharibi mwa mjia bakhmut
Basi tunakuletea habari ya BBC uifanyie kazi
===

Bakhmut: Zelensky says city is destroyed as Russia claims victory​

    • Published
      47 minutes ago
Share

Media caption,
"Bakhmut is only in our hearts" - Zelensky
By Samuel Horti
BBC News
 
Ndio maana siku zote usema wakati mwingine ni vigumu kumuelewa MK-254, leo hii Rais Zelensky mwenyewe kakiri kwamba amepoteza Bakhamut - lakini yeye anaganganiza kutuletea habari za jana kutoka. kwa highly questionable General.
Mkuu, MK254 sio kwamba haelewi kuwa Bakhmut imeshatekwa na Urusi, anaelewa vema. Lakini anajaribu kuficha uso wake kwa aibu na fedheha iliyompata maana aliaminishwa kuwa silaha za Marekani (HIMARS, HARM)+ Uingereza (Storm Shadow long range cruise missiles, Challenger 2 tank, M777 howitzer) + Ujerumani (Leopard 2 tank) + France (Caesar self propelled howitzer, LRU multiple-launch rocket systems) + NATO kwa ujumla zingeilinda Bakhmut dhidi ya zile za Urusi, lakini zimefeli.

Akikubali hadharani kuwa Bakhmut imeanguka ni sawa na yeye kukubali hadharani kuwa silaha za Marekani + Uingereza + Ujeumani + France + NATO kwa ujumla ni dhaifu mbele ya zile za Urusi...kitu ambacho yeye MK254 hayupo tayari kukikubali hadharani na kutangaza...anaishia kukikubali moyoni tu tena kwa maumivu makali mno!
 
Mkuu, MK254 sio kwamba haelewi kuwa Bakhmut imeshatekwa na Urusi, anaelewa vema. Lakini anajaribu kuficha uso wake kwa aibu na fedheha iliyompata maana aliaminishwa kuwa silaha za Marekani (HIMARS, HARM)+ Uingereza (Storm Shadow long range cruise missiles, Challenger 2 tank, M777 howitzer) + Ujerumani (Leopard 2 tank) + France (M777 howitzer, LRU multiple-launch rocket systems) + NATO kwa ujumla zingeilinda Bakhmut dhidi ya zile za Urusi, lakini zimefeli.

Akikubali hadharani kuwa Bakhmut imeanguka ni sawa na yeye kukubali hadharani kuwa silaha za Marekani + Uingereza + Ujeumani + France + NATO kwa ujumla ni dhaifu mbele ya zile za Urusi...kitu ambacho yeye MK254 hayupo tayari kukikubali hadharani na kutangaza...anaishia kukikubali moyoni tu tena kwa maumivu makali mno!
SUPER - I believe this will obviously serve him right, from now on no one in his/her right mind shall take his Mickey Mouse stories seriously.
 
Deutsche Welle (DW) ya Ujeumani yaripoti kuwa Zelensky amethibitisha kuwa mji wa Bakhmut wote umeshatekwa na majeshi ya Urusi.

Hayo yamejiri leo jumapili wakati Bwana Zele alipokuwa kwenye mkutano wa G7 na mabosi wake ambapo mabosi wake walimuuliza Zele kama Ukraine inamiliki walau kamtaa kwenye mji wa Bakhmut.

Bwana Zele akashindwa kuwaongopea mabosi wake, hatimaye kwa masikitiko makubwa na uso uliojaa fedheha iso na kifani akajibu HAPANA, Ukraine kwa sasa haimiliki sehemu yoyote ya Bakhmut, si tu mtaa bali hata kanyumba kamoja.

Cc: MK254

=======

View attachment 2629692
View attachment 2629693
Mfundishen Putin kusema ukwel , sivamii akavamia , mara sigara imelipua ghala la silaha , yaan hoja za Putin hata vichaa haez zitamka
 
Back
Top Bottom