Zelensky athibitisha kuwa Bakhmut yote imetekwa na Urusi

Zelensky athibitisha kuwa Bakhmut yote imetekwa na Urusi

Mkuu, MK254 sio kwamba haelewi kuwa Bakhmut imeshatekwa na Urusi, anaelewa vema. Lakini anajaribu kuficha uso wake kwa aibu na fedheha iliyompata maana aliaminishwa kuwa silaha za Marekani (HIMARS, HARM)+ Uingereza (Storm Shadow long range cruise missiles, Challenger 2 tank, M777 howitzer) + Ujerumani (Leopard 2 tank) + France (Caesar self propelled howitzer, LRU multiple-launch rocket systems) + NATO kwa ujumla zingeilinda Bakhmut dhidi ya zile za Urusi, lakini zimefeli.

Akikubali hadharani kuwa Bakhmut imeanguka ni sawa na yeye kukubali hadharani kuwa silaha za Marekani + Uingereza + Ujeumani + France + NATO kwa ujumla ni dhaifu mbele ya zile za Urusi...kitu ambacho yeye MK254 hayupo tayari kukikubali hadharani na kutangaza...anaishia kukikubali moyoni tu tena kwa maumivu makali mno!

Bakhmut imeshindikana, Putin hana washauri wazuri hadi anaaibika kila iku Hivi Putin hana washauri, katoa hongera, ngoma bado, jameni aibu
 
Basi tunakuletea habari ya BBC uifanyie kazi
===
Tunasema hizi habari za Russia ku take control bakhmuti jana zilisambaa sana kwenye vyombo vya habari zote CNN, BBC, Aljazeera nk., lakini walivyokuwa wanazitoa wao kwenye television zote hizo walikuwa wanabalance na habari ya wakati huo huko Kamanda wa Ukraine yeye anakataa bakhmut kuwa mikononi mwa Russia, na alisema vita inaendelea na kuna maeneo muhimu zaidi ya viwanda yapo chini ya Ukraine katika mji ambao Russia wanadi kuuteka.

Kumbukuka Russia walipovamia mji wa bakhmuti awali walidai tayari washauteka bakhmut sasa bakhmut inakuwa captured mara ngapi?? siku zile na sasa

Ndio maana habari zako za ku-copy na ku-paste za DW bila kueleza upande wapili sisi tunasema hizo habari iwekwe kwa dustbin, hatuwezi kuifanyia kazi.

Bakhmut: Zelensky says city is destroyed as Russia claims victory​

    • Published
      47 minutes ago
Share

Media caption,
"Bakhmut is only in our hearts" - Zelensky
By Samuel Horti
BBC News
 
Usijali mkuu, fanyia kazi habari ya Biden, The Washington Post, ambapo Zelensky ameripotiwa akisema Bakhmut imebaki tu kwenye mioyo ya waUkraine wakiitamani, lakini inamilikiwa na Urusi kwa sasa

View attachment 2629867
Hizi habari za ku-copy na kupaste ni shida sana kwa vyanzo vya habari, habari za kutekwa mji wa bakhmut na russia zilienea sana vyombo vyote vya habari wakimnukuu kiongozi wa Wagner Group kwa wanajeshi kadhaa kusimama juu ya jengo bovu na kupeperusha bendera jengo ambalo halijulikani kama hata ni la nchi ya Ukraine.

Ukweli ni kwamba licha ya hizo habari kutoka jana wakati huo huo kulikuwa kauli ya Kamanda wa Ukraine akisema bado bakhmut imo mikononi mwao na bado maeneo nyeti ya mji kama viwanda Ukraine wenywe ndio wanashikilia sasa unapokuja hapa eleza kilichojiri sio ufurukutwa wa dikteta putin
 
itakua bado umelala waulize na al jazeera nao!
Mkuu Aljazeera nimekesha nayo sana wametoa hiyo habari ya Kamanda mkuu wa Wagner kwamba bakhmut wameiteka lakini wakati huo huo wamebalance kwa kauli ya Kamanda wa Ukraine akikiri bakhmut bado imo mikononi mwao hasa kwenye maeneo nyeti kati ya mji ambao Russia wanadai kuuteka.
 
Tunasema hizi habari za Russia ku take control bakhmuti jana zilisambaa sana kwenye vyombo vya habari zote CNN, BBC, Aljazeera nk., lakini walivyokuwa wanazitoa wao kwenye television zote hizo walikuwa wanabalance na habari ya wakati huo huko Kamanda wa Ukraine yeye anakataa bakhmut kuwa mikononi mwa Russia, na alisema vita inaendelea na kuna maeneo muhimu zaidi ya viwanda yapo chini ya Ukraine katika mji ambao Russia wanadi kuuteka.

Kumbukuka Russia walipovamia mji wa bakhmuti awali walidai tayari washauteka bakhmut sasa bakhmut inakuwa captured mara ngapi?? siku zile na sasa

Ndio maana habari zako za ku-copy na ku-paste za DW bila kueleza upande wapili sisi tunasema hizo habari iwekwe kwa dustbin, hatuwezi kuifanyia kazi.
Sasa uzifanyie kazi wewe kama nani, kama Kichaa wenu zele kakiri, wewe Mmarekani wa Kwa Mpalange, unawezaje kufanyia kazi, acha kabisa usihusike mkuu, kua mpole.
 
Nahisi umechanganyikiwa Mkuu, unakopi habari ya DW ya jana jumamosi (Saturday) tena toka kwa viongozi uchwara wa Ukraine halafu wasiotajwa majina wakati mie habari hii niliyoileta ni ya leo leo jumapili tena hata lisaa limoja halijapita toka iripotiwe...na zaidi ya yote inatoka kwa Rais wa Ukraine Bwana Zelensky akiongea officially kwenye mkutano wa G7.

View attachment 2629719
Hachana naye! Huyo Zero lensiky anasubiliwa ajibie kesi ya kufanya ugaidi ktk Ikuru ya Rais.
 
Sasa uzifanyie kazi wewe kama nani, kama Kichaa wenu zele kakiri, wewe Mmarekani wa Kwa Mpalange, unawezaje kufanyia kazi, acha kabisa usihusike mkuu, kua mpole.
Nilijuwa tu utachoka na propaganda za russia.,
 
Leta ushahidi, Mahali msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Russia alisema Sasa tumeiteka Artyomovsk (Bakhmut ya zamani) kabla ya Jana. Ushahidi usiwe na mawaa!
Kauli ya Kamanda wa Ukraine jana alivyosema kuhusu bakhmut utajua how lier proPutin you are nyinyi mnapelekeshwa kwa propaganda za muda mfupi halafu munapoteana hapa jf,

 
Kauli ya Kamanda wa Ukraine jana alivyosema kuhusu bakhmut utajua how lier proPutin you are nyinyi mnapelekeshwa kwa propaganda za muda mfupi halafu munapoteana hapa jf,
Mkuu Leta ushahidi, acha kuzunguka zunguka. Ha ha haaaa!
Fuatilia mwenyewe taarifa rasmi ya kilichowapata AFU

 
Mara baada ya urusi kutangaza kuwa imefanikiwa kuteka ngome kubwa ya ukraine katika mji wa Bakhmut, Ukraine ilikanusha vikali. Lakini msaidizi wa rais Zelensky baadaye akatoa taarifa rasmi kuwa WATAURUDISHA TENA (recapture) KATIKA HIMAYA YAO MJI WA BAKHMUT. Kwa maneno mengine kwa sasa hauko mikononi mwao.

Ukraine will recapture Donbass stronghold – Top Zelensky aide​

Mikhail Podoliak downplayed Moscow’s announcement that it has completely taken over Artyomovsk
Ukraine will recapture Donbass stronghold – Top Zelensky aide

A destroyed building in Artyomovsk (Bakhmut), February 2023. © Dimitar Dilkoff / AFP
Ukraine will recapture the key Donbass city of Artyomovsk, also known as Bakhmut, President Vladimir Zelensky’s senior adviser, Mikhail Podoliak, said on Saturday night. His remarks came after Wagner private military company chief Evgeny Prigozhin announced that his fighters had taken complete control of the city.
The Russian Defense Ministry confirmed in the early hours of Sunday that Wagner had executed the operation with the help of regular troops.
 
Mkuu Leta ushahidi, acha kuzunguka zunguka. Ha ha haaaa!

Fuatilia mwenyewe taarifa rasmi ya kilichowapata AFU
Ata kiingereza hujui kusoma halafu unakuja hapa debe tupu, kaa kimya
 
Mkuu Aljazeera nimekesha nayo sana wametoa hiyo habari ya Kamanda mkuu wa Wagner kwamba bakhmut wameiteka lakini wakati huo huo wamebalance kwa kauli ya Kamanda wa Ukraine akikiri bakhmut bado imo mikononi mwao hasa kwenye maeneo nyeti kati ya mji ambao Russia wanadai kuuteka.
Weka picha hayo maeneo nyeti waliyoko tuyaone
maneno ya khanga hatuyataki,
 
Waandishi wa habari wanajua kuchokonoa sana!! Wamemwuliza rais wa Ukraine Zelensky kama bado majeshi yake yanamiliki mji wa bukhmut, akajibu "nafikiri hapana".

On Sunday, Ukrainian President Vladimir Zelensky reportedly conceded that Kiev had lost the city. When asked whether Ukraine was still in control of Artyomovsk, he replied “I think no.”
 
Mrusi mwacheni achukue tu maeneo hiyo ndiyo gharama ya silaha za Urusi na askari zinavyolipiwa Mrusi anajilipa kabisa magharibi wanamkopesha aje kulipa UKRAIN baada ya vita kuisha sasa cjui hapa mjanja nani hahahahah ila kwa tulisoma Cuba tunaeelewa
Ha ha ha haa.
Cuba wako vizuri kwa Intelligence na combat.
 
Back
Top Bottom