Zelensky athibitisha kuwa Bakhmut yote imetekwa na Urusi

Na sisi hatutetegemei matamko, tunasukuma ndani...
nyie ndio makelele mengi..!Mwanaume Russia hana muda na Media, ni kwa masuala ya msingi tu. Ushaona Putin anazungumzia zungumzia mambo hayo ila Biden hata akiwa na familia yake aachi kuiongelea Vita na Russia.
 
nyie ndio makelele mengi..!Mwanaume Russia hana muda na Media, ni kwa masuala ya msingi tu. Ushaona Putin anazungumzia zungumzia mambo hayo ila Biden hata akiwa na familia yake aachi kuiongelea Vita na Russia.

Kwa sasa hawezi kujitokeza, amekua mwoga mwoga drone zinamkuta ikulu hivyo hata hao media anawaogopa sasa, hebu ona hata salamu kwa mtoto huwa shughuli....

 
Kwa sasa hawezi kujitokeza, amekua mwoga mwoga drone zinamkuta ikulu hivyo hata hao media anawaogopa sasa, hebu ona hata salamu kwa mtoto huwa shughuli....

Tatizo huko 254 ushashiba ugali wako unaleta propaganda za ruto na raila hapa
 
....
 
Hongera kwa WARGNER
 
Kwann huu Uzi Mods wameu pin huku juu?
Kwasababu habari hii imeletwa na vyanzo vya uhakika vya habari duniani na nchi za magharibi yaani DW.

Vyombo vingine vimekuwa vyapiga danadana.
 
Kwakweli sijajua lengo la Uzi huu kufungwa.

Naona sahivi unaweza comment. Nilijua mwanzo Mods ni Team NATO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…