Zelensky: Huu ni ushindi mkubwa kwetu tuliousubiri kwa miaka 30

Zelensky: Huu ni ushindi mkubwa kwetu tuliousubiri kwa miaka 30

Narumu kwetu

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
1,888
Reaction score
4,489
Sijajua huyu jamaa anamaanisha nini kwenye kauli yake , mara baada ya EU kuwapa membership status leo.maana bado hajawa member kamili ila ni jambo la kushangaza kupewa status membership wakati yuko vitani yaan ni kama wamelazimishia tuu ili kutimiza mambo flan wanayoyajua . Mwenye ujuzi tuambiane ila nachojua kuna mtu anategwa hapa maana Rais wa France naye baada ya kutoka kwenye kikao katoa kauli tata kwamba Anadhani Russia wamepata message. Yajao yanatisha.

Now PlayingWatch Ukrainian troops fire US-supplied M777 Howitzers on Russian positions
close

Russia's war in Ukraine​

By Helen Regan, Hafsa Khalil, Jeevan Ravindran, Aditi Sangal, Ed Upright and Adrienne Vogt, CNN
Updated 6:07 p.m. ET, June 23, 2022

What we're covering​

  • European Union leaders have agreed to grant Ukraine and Moldova candidate status for EU membership.
  • Russian forces have taken two more settlements near the strategic city of Lysychansk in their offensive to capture the remainder of the eastern Luhansk region, according to Ukrainian officials.
  • Ukraine's forces control about 45% of the eastern Donetsk region, a regional military chief said, adding that more than a hundred cities and villages there had no gas or electricity.
  • President Vladimir Putin said Russia is rerouting trade to "reliable international partners" such as Brazil, India, China and South Africa as the West attempts to sever economic ties, during his video address to the virtual BRICS Summit.
  • Having connection issues? Bookmark CNN's lite site for fast connectivity.
  • All
  • Catch Up
  • European Union
51 Posts
SORT BYLatestOldest
1 New Update1 hr 32 min ago

EU candidates "have to do homework" before moving to the next stage, commission president says​

From CNN’s Arnaud Siad and Chris Liakos

President of the European Commission Ursula von der Leyen talks to media in Brussels, on Thursday.


President of the European Commission Ursula von der Leyen talks to media in Brussels, on Thursday. (Thierry Monasse/Getty Images)

European Commission President Ursula von der Leyen said that European Union candidate countries have “homework” to do before the next stage of the of the accession process.

Speaking during a short press conference alongside French President Emmanuel Macron and European Council President Charles Michel following EU’s decision to grant Ukraine and Moldova EU candidate status, she said:
“The countries all have to do homework before moving to the next stage of the accession process but I am convinced that they will all move as swiftly as possible and work as hard as possible to implement the necessary reforms.”
She added that today’s decision strengthens Ukraine and Moldova, plus Georgia — which the EU is ready to grant candidate status once the outstanding priorities are addressed — “in the face of Russian aggression and it strengthens the European Union because it shows once again to the world that the European Union is united and strong in the face of external threats”

“It’s a very strong message which is being sent out. A message of unity, of determination in political terms,” Michel added.

EU says it will "swiftly work on a further increase of military support" to Ukraine​

From CNN’s Chris Liakos
The EU says it will “swiftly” work on increasing military support to Ukraine and will work on further financial assistance.

In a news release following the first day of the two-day EU Summit, the European Council said, “The European Union remains strongly committed to providing further military support to help Ukraine exercise its inherent right of self-defence against the Russian aggression and defend its territorial integrity and sovereignty. To this end, the European Council calls on the Council to swiftly work on a further increase of military support.”

The European Council also urged Russia to “immediately stop targeting agricultural facilities and removing cereals, and to unblock the Black Sea, in particular the port of Odesa, so as to allow the export of grain and commercial shipping operations,” blaming Russia for the global food security crisis.

“Russia, by weaponising food in its war against Ukraine, is solely responsible for the global food security crisis it has provoked,” it said.

The European Council also condemned “Russia’s indiscriminate attacks against civilians and civilian infrastructure,” adding that “international humanitarian law, including on the treatment of prisoners of war, must be respected.”
“Russia, Belarus and all those responsible for war crimes and the other most serious crimes will be held to account for their actions, in accordance with international law,” it said.

Zelensky: "This is a victory. We waited 120 days and 30 years" for EU candidate status​

From CNN's Victoria Butenko and Julia Presniakova

Ukrainian President Volodymyr Zelensky has called the European Council decision to grant Ukraine candidate status a “victory."

In a video posted on Instagram immediately after the announcement, he said:
“We have just received the candidacy. This is a victory we had waited for 120 days and 30 years. After that we will defeat the enemy and get some rest. Or maybe we shall rebuild Ukraine first and get some rest afterwards."
Zelensky added, "And maybe shall will even win, rebuild, join the EU and then rest. Or maybe we won’t be getting rest. Though children would disagree with that. But we will definitely win.”
 
Salamu zimfikie Dr Shika na Sharobaro popote walipo., mmewacha warusi wa mikoani na wamarekani wa dasalamu wanachapana huku.



Kwioooo [emoji239][emoji239][emoji239]
 
Kutoka siku mkuu wa jeshi uingereza kutamka wazi ulaya ijiandae kwa Vita nilitambua Hilo kwamba Ukraine inapewa nafasi urusi ijiandaage kisaikolojia
 
Europe imekwisha ,marekani kawaponza
Europe imekwisha ,marekani kawaponza
Europe imekwisha ,marekani kawaponza
Wanatapa tapa tu, kwanza hawajui walisemalo,pili hawajui wanataka nini? Viongozi wa Ulaya wanashangaza sana!!!

Kilicho nichekesha zaidi ni pale President wa European Commission Bi Ursula Von De Leyen anapo shed crocodile tears kwamba Urusi hawana utu kwa kuwa wanafungia chakula/grains zisisambazwe Duniani ili watu wafe njaa, vile vile Warusi wamefungia GESI yao kwenda Ulaya - wanalalamika sana kwamba eti Urusi inatumia chakula/grain na gesi yao kama silaha ya kukomoa watu Duniani - yaani mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu -wao wanaona fahari kuiwekea a punitive sanctions Urusi lakini Urusi ikiwafungia wao wanalalama kama nini sijui - Viongozi wa Ulaya ni wazabazabina sana - kama ningekuwa Putin na mimi ningewawekea ngumu nafungia kila kitu, let what comes may, hakuna jinsi-hawa watu siwa kuchekea hata kidogo.
 
Kuna nchi kubwa EU , hii issue ya Ukraine kudeka sidhani kama wanaifurahia ila basi.
 
... NATO membership ndio muhimu zaidi kwa Ukraine kwa sasa kuliko EU.
Hata hili pia ni muhimu maana wameshajiondoa rasmi kwenye 'himaya ya ushawishi ya Urusi' na imefungua njia ya kuelekea kwenye ulimwengu mpya.
 
Duuh mbona ni ahadi tu hakuna kitu
 
Back
Top Bottom