Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ushamba,makombati Ni kama madekio tuWazo zuri
Sasa apigilie zile full combat gear. Zile full bawa, komando komando kweli. Itawapa hata morali wanajeshi wake.
Rejea hata picha za Magu na kombati, zina mzuka wake.
Ogopa stress wewKwanini asivae suti kali?
Kwanini avae tisheti tu?
Mbaya zaidi hata anapokutana na delegations za nchi nyingine, pamoja na mikutanoni yeye ni matisheti tu. Why?
Yaani unakuta hadi walinzi na madereva wa hao viongozi wengine wamenyuka misuti mikali mikali halafu rais wanayempokea/pokelewa naye ako na tisheti, ni nini hiki. Hii inaifanya Ukraine kuwa na picha ya kataifa kavulana kanakotegemea kuangaliwa na mabraza zake kina NATO, US na Ulaya.
Nadharia yangu: Anataka aonekane mdogo, kaonekane katoto kasaidiwe zaidi. Au anataka asichukuliwe siriazi sana awe wanampa mawazo ya namna ya kuendesha nchi yake mwenyewe na vita. Je ni kweli anataka kuwa western puppet kwerikweri?
Kama sio hivyo sasa ni kwa nn hataki kuuvaa uraisi japo kimuonekano? Siweki picha, jitafutieni wenyewe.
Edit: Tunatofautiana akili, wengine bila picha hawaendi so hiki hapa nnachokaziaView attachment 2640123Hii ni sawa kiasi full combat kivita zaidi👆. Angeshika hata na libunduki kubwakubwa kushow kwamba "I MEAN BUSSINESS"
Nnayokataa mimi ni mambo kama haya👇View attachment 2640130Yaani hapo hata kama angeamua kuvaa full combat haifai, ataonekana kama yeye ni mercenary anayetumwa na hao wenye suti. (Au ndio ukweli nini🤔)
Mavazi yangekuwa hayana maana wafalme wangevaa kama subjects sasa.
Nchi yake inavita suti ya nini? Wananchi wake wameuliwa na kuumizwa na wengine wapo displaced., Suti vaa wewe ukienda makanisaniKwanini asivae suti kali?
Kwanini avae tisheti tu?
Mbaya zaidi hata anapokutana na delegations za nchi nyingine, pamoja na mikutanoni yeye ni matisheti tu. Why?
Yaani unakuta hadi walinzi na madereva wa hao viongozi wengine wamenyuka misuti mikali mikali halafu rais wanayempokea/pokelewa naye ako na tisheti, ni nini hiki. Hii inaifanya Ukraine kuwa na picha ya kataifa kavulana kanakotegemea kuangaliwa na mabraza zake kina NATO, US na Ulaya.
Nadharia yangu: Anataka aonekane mdogo, kaonekane katoto kasaidiwe zaidi. Au anataka asichukuliwe siriazi sana awe wanampa mawazo ya namna ya kuendesha nchi yake mwenyewe na vita. Je ni kweli anataka kuwa western puppet kwerikweri?
Kama sio hivyo sasa ni kwa nn hataki kuuvaa uraisi japo kimuonekano? Siweki picha, jitafutieni wenyewe.
Edit: Tunatofautiana akili, wengine bila picha hawaendi so hiki hapa nnachokaziaView attachment 2640123Hii ni sawa kiasi full combat kivita zaidi👆. Angeshika hata na libunduki kubwakubwa kushow kwamba "I MEAN BUSSINESS"
Nnayokataa mimi ni mambo kama haya👇View attachment 2640130Yaani hapo hata kama angeamua kuvaa full combat haifai, ataonekana kama yeye ni mercenary anayetumwa na hao wenye suti. (Au ndio ukweli nini🤔)
Mavazi yangekuwa hayana maana wafalme wangevaa kama subjects sasa.
Nipo Mkuu,ni vile tu majukumu yanabana sana.We Jamaa ulikuwa vitani Ukraine nini, mbona adimu kwa muda sana humu JF?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Anhaa kumbe ipo strategically, kwa hiyo hayo mavazi ni makusudi kabisa.Yuko vitani.
Na mavazi yake yana potray hilo jambo.
Walilizungumzia watu wa vyombo vya habar vya mataifa kuwa mavazi yake yanaonyesha kuwa nchi yao haina raha na uhuru hawana cha kufurahia, Jifunze kufuatilia habari dogo na siyo kukurupuka
Ndio maana viongoz wako wapumbav kam ww sababu huna akili ya kujua nchi ipo kweny hali gani , badala ya kuiwazia nchi ww unawazia suti , viongoz wako wanaiba 41B wkt wizara ya elimu ni mbovu , wizara ya ulinzi ni mbovu wizara ya afya ni mbovu , ndio maana mnaitwa kimahKwanini asivae suti kali?
Kwanini avae tisheti tu?
Mbaya zaidi hata anapokutana na delegations za nchi nyingine, pamoja na mikutanoni yeye ni matisheti tu. Why?
Yaani unakuta hadi walinzi na madereva wa hao viongozi wengine wamenyuka misuti mikali mikali halafu rais wanayempokea/pokelewa naye ako na tisheti, ni nini hiki. Hii inaifanya Ukraine kuwa na picha ya kataifa kavulana kanakotegemea kuangaliwa na mabraza zake kina NATO, US na Ulaya.
Nadharia yangu: Anataka aonekane mdogo, kaonekane katoto kasaidiwe zaidi. Au anataka asichukuliwe siriazi sana awe wanampa mawazo ya namna ya kuendesha nchi yake mwenyewe na vita. Je ni kweli anataka kuwa western puppet kwerikweri?
Kama sio hivyo sasa ni kwa nn hataki kuuvaa uraisi japo kimuonekano? Siweki picha, jitafutieni wenyewe.
Edit: Tunatofautiana akili, wengine bila picha hawaendi so hiki hapa nnachokaziaView attachment 2640123Hii ni sawa kiasi full combat kivita zaidi[emoji115]. Angeshika hata na libunduki kubwakubwa kushow kwamba "I MEAN BUSSINESS"
Nnayokataa mimi ni mambo kama haya[emoji116]View attachment 2640130Yaani hapo hata kama angeamua kuvaa full combat haifai, ataonekana kama yeye ni mercenary anayetumwa na hao wenye suti. (Au ndio ukweli nini[emoji848])
Mavazi yangekuwa hayana maana wafalme wangevaa kama subjects sasa.
Kwanini asivae suti kali?
Kwanini avae tisheti tu?
Mbaya zaidi hata anapokutana na delegations za nchi nyingine, pamoja na mikutanoni yeye ni matisheti tu. Why?
Yaani unakuta hadi walinzi na madereva wa hao viongozi wengine wamenyuka misuti mikali mikali halafu rais wanayempokea/pokelewa naye ako na tisheti, ni nini hiki. Hii inaifanya Ukraine kuwa na picha ya kataifa kavulana kanakotegemea kuangaliwa na mabraza zake kina NATO, US na Ulaya.
Nadharia yangu: Anataka aonekane mdogo, kaonekane katoto kasaidiwe zaidi. Au anataka asichukuliwe siriazi sana awe wanampa mawazo ya namna ya kuendesha nchi yake mwenyewe na vita. Je ni kweli anataka kuwa western puppet kwerikweri?
Kama sio hivyo sasa ni kwa nn hataki kuuvaa uraisi japo kimuonekano? Siweki picha, jitafutieni wenyewe.
Edit: Tunatofautiana akili, wengine bila picha hawaendi so hiki hapa nnachokaziaView attachment 2640123Hii ni sawa kiasi full combat kivita zaidi👆. Angeshika hata na libunduki kubwakubwa kushow kwamba "I MEAN BUSSINESS"
Nnayokataa mimi ni mambo kama haya👇View attachment 2640130Yaani hapo hata kama angeamua kuvaa full combat haifai, ataonekana kama yeye ni mercenary anayetumwa na hao wenye suti. (Au ndio ukweli nini🤔)
Mavazi yangekuwa hayana maana wafalme wangevaa kama subjects sasa.
Kwavile huna akili ni ngumu kuelewa nchi inapokuww vitan unapaswa kuwekeza akili kweny usalama wa nchi na sio kujipamba kama demuAcha ushamba,makombati Ni kama madekio tu
Mwanasiasa hawaishiw ubunifu ili waonekane wanawajibikaKwanini asivae suti kali?
Kwanini avae tisheti tu?
Mbaya zaidi hata anapokutana na delegations za nchi nyingine, pamoja na mikutanoni yeye ni matisheti tu. Why?
Yaani unakuta hadi walinzi na madereva wa hao viongozi wengine wamenyuka misuti mikali mikali halafu rais wanayempokea/pokelewa naye ako na tisheti, ni nini hiki. Hii inaifanya Ukraine kuwa na picha ya kataifa kavulana kanakotegemea kuangaliwa na mabraza zake kina NATO, US na Ulaya.
Nadharia yangu: Anataka aonekane mdogo, kaonekane katoto kasaidiwe zaidi. Au anataka asichukuliwe siriazi sana awe wanampa mawazo ya namna ya kuendesha nchi yake mwenyewe na vita. Je ni kweli anataka kuwa western puppet kwerikweri?
Kama sio hivyo sasa ni kwa nn hataki kuuvaa uraisi japo kimuonekano? Siweki picha, jitafutieni wenyewe.
Edit: Tunatofautiana akili, wengine bila picha hawaendi so hiki hapa nnachokaziaView attachment 2640123Hii ni sawa kiasi full combat kivita zaidi[emoji115]. Angeshika hata na libunduki kubwakubwa kushow kwamba "I MEAN BUSSINESS"
Nnayokataa mimi ni mambo kama haya[emoji116]View attachment 2640130Yaani hapo hata kama angeamua kuvaa full combat haifai, ataonekana kama yeye ni mercenary anayetumwa na hao wenye suti. (Au ndio ukweli nini[emoji848])
Mavazi yangekuwa hayana maana wafalme wangevaa kama subjects sasa.
Tunaambiwa na nani??Unaambiwa zile Iskanda za Mrusi zimesababisha mfukuto wa joto kupanda mara mia mwilini mwake. Sasa ataavaje suti kwa mfano?
Au mnataka mkuu wa nchi azurure na Eisii mgongoni, ukinzingatia kwamba sasa ni zama na zamu ya invincible Kinzhal?
Mmmmh, ntafuatiliaPana jamaa nilimwambia ile Tshirt ina uwezo wa kuzuia risasi alikuja kuamini baadae sana...nadhani na wewe hujui kuwa zile Tshirt za kawaida ila zina uwezo wa kuzuia risasi...