Zelensky kutokupigilia suti kama marais wenzake, kung'angania tisheti casual na combat inadhalilisha Ukraine

Zelensky kutokupigilia suti kama marais wenzake, kung'angania tisheti casual na combat inadhalilisha Ukraine

Nchi ipo vitani lazima amiri jeshi awe na gwanda muda wote ni alama ya superiority
 
Kwanini asivae suti kali?

Kwanini avae tisheti tu?

Mbaya zaidi hata anapokutana na delegations za nchi nyingine, pamoja na mikutanoni yeye ni matisheti tu. Why?

Yaani unakuta hadi walinzi na madereva wa hao viongozi wengine wamenyuka misuti mikali mikali halafu rais wanayempokea/pokelewa naye ako na tisheti, ni nini hiki. Hii inaifanya Ukraine kuwa na picha ya kataifa kavulana kanakotegemea kuangaliwa na mabraza zake kina NATO, US na Ulaya.

Nadharia yangu: Anataka aonekane mdogo, kaonekane katoto kasaidiwe zaidi. Au anataka asichukuliwe siriazi sana awe wanampa mawazo ya namna ya kuendesha nchi yake mwenyewe na vita. Je ni kweli anataka kuwa western puppet kwerikweri?

Kama sio hivyo sasa ni kwa nn hataki kuuvaa uraisi japo kimuonekano? Siweki picha, jitafutieni wenyewe.

Edit: Tunatofautiana akili, wengine bila picha hawaendi so hiki hapa nnachokaziaView attachment 2640123Hii ni sawa kiasi full combat kivita zaidi👆. Angeshika hata na libunduki kubwakubwa kushow kwamba "I MEAN BUSSINESS"

Nnayokataa mimi ni mambo kama haya👇View attachment 2640130Yaani hapo hata kama angeamua kuvaa full combat haifai, ataonekana kama yeye ni mercenary anayetumwa na hao wenye suti. (Au ndio ukweli nini🤔)
Mavazi yangekuwa hayana maana wafalme wangevaa kama subjects sasa.
Ogopa stress wew

Msongo wa mawazo husababisha mtu ajione yu sahihi kwa kila jambo....hata kunywa sumu
 
Kwanini asivae suti kali?

Kwanini avae tisheti tu?

Mbaya zaidi hata anapokutana na delegations za nchi nyingine, pamoja na mikutanoni yeye ni matisheti tu. Why?

Yaani unakuta hadi walinzi na madereva wa hao viongozi wengine wamenyuka misuti mikali mikali halafu rais wanayempokea/pokelewa naye ako na tisheti, ni nini hiki. Hii inaifanya Ukraine kuwa na picha ya kataifa kavulana kanakotegemea kuangaliwa na mabraza zake kina NATO, US na Ulaya.

Nadharia yangu: Anataka aonekane mdogo, kaonekane katoto kasaidiwe zaidi. Au anataka asichukuliwe siriazi sana awe wanampa mawazo ya namna ya kuendesha nchi yake mwenyewe na vita. Je ni kweli anataka kuwa western puppet kwerikweri?

Kama sio hivyo sasa ni kwa nn hataki kuuvaa uraisi japo kimuonekano? Siweki picha, jitafutieni wenyewe.

Edit: Tunatofautiana akili, wengine bila picha hawaendi so hiki hapa nnachokaziaView attachment 2640123Hii ni sawa kiasi full combat kivita zaidi👆. Angeshika hata na libunduki kubwakubwa kushow kwamba "I MEAN BUSSINESS"

Nnayokataa mimi ni mambo kama haya👇View attachment 2640130Yaani hapo hata kama angeamua kuvaa full combat haifai, ataonekana kama yeye ni mercenary anayetumwa na hao wenye suti. (Au ndio ukweli nini🤔)
Mavazi yangekuwa hayana maana wafalme wangevaa kama subjects sasa.
Nchi yake inavita suti ya nini? Wananchi wake wameuliwa na kuumizwa na wengine wapo displaced., Suti vaa wewe ukienda makanisani
 
Yuko vitani.

Na mavazi yake yana potray hilo jambo.

Walilizungumzia watu wa vyombo vya habar vya mataifa kuwa mavazi yake yanaonyesha kuwa nchi yao haina raha na uhuru hawana cha kufurahia, Jifunze kufuatilia habari dogo na siyo kukurupuka
 
Yuko vitani.

Na mavazi yake yana potray hilo jambo.

Walilizungumzia watu wa vyombo vya habar vya mataifa kuwa mavazi yake yanaonyesha kuwa nchi yao haina raha na uhuru hawana cha kufurahia, Jifunze kufuatilia habari dogo na siyo kukurupuka
Anhaa kumbe ipo strategically, kwa hiyo hayo mavazi ni makusudi kabisa.

Sikuwa na habari hiyo kabla ilikuwa ni nadharia tu hadi mda huu!!.

Kama walishalizungumzia na ndio hivyo na lengo ni kutia huruma basi good move kwake dogo.
 
Kwanini asivae suti kali?

Kwanini avae tisheti tu?

Mbaya zaidi hata anapokutana na delegations za nchi nyingine, pamoja na mikutanoni yeye ni matisheti tu. Why?

Yaani unakuta hadi walinzi na madereva wa hao viongozi wengine wamenyuka misuti mikali mikali halafu rais wanayempokea/pokelewa naye ako na tisheti, ni nini hiki. Hii inaifanya Ukraine kuwa na picha ya kataifa kavulana kanakotegemea kuangaliwa na mabraza zake kina NATO, US na Ulaya.

Nadharia yangu: Anataka aonekane mdogo, kaonekane katoto kasaidiwe zaidi. Au anataka asichukuliwe siriazi sana awe wanampa mawazo ya namna ya kuendesha nchi yake mwenyewe na vita. Je ni kweli anataka kuwa western puppet kwerikweri?

Kama sio hivyo sasa ni kwa nn hataki kuuvaa uraisi japo kimuonekano? Siweki picha, jitafutieni wenyewe.

Edit: Tunatofautiana akili, wengine bila picha hawaendi so hiki hapa nnachokaziaView attachment 2640123Hii ni sawa kiasi full combat kivita zaidi[emoji115]. Angeshika hata na libunduki kubwakubwa kushow kwamba "I MEAN BUSSINESS"

Nnayokataa mimi ni mambo kama haya[emoji116]View attachment 2640130Yaani hapo hata kama angeamua kuvaa full combat haifai, ataonekana kama yeye ni mercenary anayetumwa na hao wenye suti. (Au ndio ukweli nini[emoji848])
Mavazi yangekuwa hayana maana wafalme wangevaa kama subjects sasa.
Ndio maana viongoz wako wapumbav kam ww sababu huna akili ya kujua nchi ipo kweny hali gani , badala ya kuiwazia nchi ww unawazia suti , viongoz wako wanaiba 41B wkt wizara ya elimu ni mbovu , wizara ya ulinzi ni mbovu wizara ya afya ni mbovu , ndio maana mnaitwa kimah
 
Kwanini asivae suti kali?

Kwanini avae tisheti tu?

Mbaya zaidi hata anapokutana na delegations za nchi nyingine, pamoja na mikutanoni yeye ni matisheti tu. Why?

Yaani unakuta hadi walinzi na madereva wa hao viongozi wengine wamenyuka misuti mikali mikali halafu rais wanayempokea/pokelewa naye ako na tisheti, ni nini hiki. Hii inaifanya Ukraine kuwa na picha ya kataifa kavulana kanakotegemea kuangaliwa na mabraza zake kina NATO, US na Ulaya.

Nadharia yangu: Anataka aonekane mdogo, kaonekane katoto kasaidiwe zaidi. Au anataka asichukuliwe siriazi sana awe wanampa mawazo ya namna ya kuendesha nchi yake mwenyewe na vita. Je ni kweli anataka kuwa western puppet kwerikweri?

Kama sio hivyo sasa ni kwa nn hataki kuuvaa uraisi japo kimuonekano? Siweki picha, jitafutieni wenyewe.

Edit: Tunatofautiana akili, wengine bila picha hawaendi so hiki hapa nnachokaziaView attachment 2640123Hii ni sawa kiasi full combat kivita zaidi👆. Angeshika hata na libunduki kubwakubwa kushow kwamba "I MEAN BUSSINESS"

Nnayokataa mimi ni mambo kama haya👇View attachment 2640130Yaani hapo hata kama angeamua kuvaa full combat haifai, ataonekana kama yeye ni mercenary anayetumwa na hao wenye suti. (Au ndio ukweli nini🤔)
Mavazi yangekuwa hayana maana wafalme wangevaa kama subjects sasa.

Aliwachekesha watu wa Ukraine kwa miaka mingi. Lakini sasa anawaliza.
 
Kwanini asivae suti kali?

Kwanini avae tisheti tu?

Mbaya zaidi hata anapokutana na delegations za nchi nyingine, pamoja na mikutanoni yeye ni matisheti tu. Why?

Yaani unakuta hadi walinzi na madereva wa hao viongozi wengine wamenyuka misuti mikali mikali halafu rais wanayempokea/pokelewa naye ako na tisheti, ni nini hiki. Hii inaifanya Ukraine kuwa na picha ya kataifa kavulana kanakotegemea kuangaliwa na mabraza zake kina NATO, US na Ulaya.

Nadharia yangu: Anataka aonekane mdogo, kaonekane katoto kasaidiwe zaidi. Au anataka asichukuliwe siriazi sana awe wanampa mawazo ya namna ya kuendesha nchi yake mwenyewe na vita. Je ni kweli anataka kuwa western puppet kwerikweri?

Kama sio hivyo sasa ni kwa nn hataki kuuvaa uraisi japo kimuonekano? Siweki picha, jitafutieni wenyewe.

Edit: Tunatofautiana akili, wengine bila picha hawaendi so hiki hapa nnachokaziaView attachment 2640123Hii ni sawa kiasi full combat kivita zaidi[emoji115]. Angeshika hata na libunduki kubwakubwa kushow kwamba "I MEAN BUSSINESS"

Nnayokataa mimi ni mambo kama haya[emoji116]View attachment 2640130Yaani hapo hata kama angeamua kuvaa full combat haifai, ataonekana kama yeye ni mercenary anayetumwa na hao wenye suti. (Au ndio ukweli nini[emoji848])
Mavazi yangekuwa hayana maana wafalme wangevaa kama subjects sasa.
Mwanasiasa hawaishiw ubunifu ili waonekane wanawajibika
 
Pana jamaa nilimwambia ile Tshirt ina uwezo wa kuzuia risasi alikuja kuamini baadae sana...nadhani na wewe hujui kuwa zile Tshirt za kawaida ila zina uwezo wa kuzuia risasi...
 
Unaambiwa zile Iskanda za Mrusi zimesababisha mfukuto wa joto kupanda mara mia mwilini mwake. Sasa ataavaje suti kwa mfano?

Au mnataka mkuu wa nchi azurure na Eisii mgongoni, ukinzingatia kwamba sasa ni zama na zamu ya invincible Kinzhal?
Tunaambiwa na nani??
 
Pana jamaa nilimwambia ile Tshirt ina uwezo wa kuzuia risasi alikuja kuamini baadae sana...nadhani na wewe hujui kuwa zile Tshirt za kawaida ila zina uwezo wa kuzuia risasi...
Mmmmh, ntafuatilia
 
Amin amin nawaambieni, msipoweza kuvua nguo na kuzikanyaga na kutembea bila aibu kama watoto wadogo...Hamtaurithi ufalme wa mbingu.
 
Back
Top Bottom