Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjisifu TU kama wafanyavyo wanachukua chako mapema,huyo kichwa hakopeshi anazohesabu Kali kuliko beberu waNato😆
Mtu mzima kijijini akiwa anaenda kunya kichakani huaga kiutu uzima kwa kusema anaenda kukata gogo la kuni
Putin sasa hivi anapigwa kila upande na Ukraine kwenye maeneo yote aliyovamia.Majeshi yake sasa anataka aya withdrawal in actual fact anakimbia vita ndipo anakuja na propaganda kuwaanataka ku concentrate kwenye eneo moja tu la Donbas !!!
Kipigo alichopata kwa Ukraine ndicho kinamkimbiza mbio anaaga kitu uzima kuwa sikimbii vita naenda Donbas kichakani kukata gogo la kuni!!!!
Wanasema hicho hicho kuwa majeshi wanahamia DonbasRussia Today wao wanasemaje?
Urusi ndio inachakaa indigo maana wanakimbia vita kupigana miji mingi kwa mpigo wameishiwa pumziNato wanasababisha ukrein ichakae
Watasema ni propaganda 😀😀😀😀
[emoji1][emoji1] Germany aendelee hivyo hivyo.Stella imetia timu UkrainiView attachment 2164788
Anasajili huku anakimbia vita kuwa anaenda Donbas!!!Haya maeneao yameshaanza kutumia pesa za kirusi na muda huu wanainch wanasajiriwa kama warusi rasmi
safi putinView attachment 2164830
[emoji1][emoji1] Germany aendelee hivyo hivyo.View attachment 2164835
Jamaa wananyooshwa sio mchezo,Vita hii wanaishinda kwny media zao uchwara tu Ila kwa ground Hali Ni tete.Jamaa vita yao ni kwenye mitandao
Mzigo uliomshinda punda, mpe mbongo ataubeba kwa manenoMtu mzima kijijini akiwa anaenda kunya kichakani huaga kiutu uzima kwa kusema anaenda kukata gogo la kuni
Putin sasa hivi anapigwa kila upande na Ukraine kwenye maeneo yote aliyovamia.Majeshi yake sasa anataka aya withdrawal in actual fact anakimbia vita ndipo anakuja na propaganda kuwaanataka ku concentrate kwenye eneo moja tu la Donbas !!!
Kipigo alichopata kwa Ukraine ndicho kinamkimbiza mbio anaaga kitu uzima kuwa sikimbii vita naenda Donbas kichakani kukata gogo la kuni!!!!
nani kakudanya anatoa vikose alikuteka? Vikose vingine vinapelekwa donbassAnasajili huku anakimbia vita kuwa anaenda Donbas!!!
Kumbe Urusi na uchumi wake kidogo anaweza kupigana na NAto nzima. Watu wanatoa misaada mpaka wanaishiwa wao silaha lkn bado wanakula kipigo tu.Jamaa wananyooshwa sio mchezo,Vita hii wanaishinda kwny media zao uchwara tu Ila kwa ground Hali Ni tete.View attachment 2164842