Zelensky: Urusi Sasa yaamua kuhamisha majeshi yake na kulinda Donbas baada kipigo kizito

Mtu mzima kijijini akiwa anaenda kunya kichakani huaga kiutu uzima kwa kusema anaenda kukata gogo la kuni

Putin sasa hivi anapigwa kila upande na Ukraine kwenye maeneo yote aliyovamia.Majeshi yake sasa anataka aya withdrawal in actual fact anakimbia vita ndipo anakuja na propaganda kuwa anataka ku concentrate kwenye eneo moja tu la Donbas !!!

Kipigo alichopata kwa Ukraine ndicho kinamkimbiza mbio anaaga kitu uzima kuwa sikimbii vita naenda Donbas kichakani kukata gogo la kuni!!!! Kumbe handicap kukata gogo wala nini anaenda ku..............
 

Nato wanasababisha ukrein ichakae
 
Mzigo uliomshinda punda, mpe mbongo ataubeba kwa maneno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…