Zelenskyy na wenzake kimya hawajarusha tena makombora yao baada ya kitu kizito Oreshnik kutua ukraine kwa dakika 15, umbali km 1000

Zelenskyy na wenzake kimya hawajarusha tena makombora yao baada ya kitu kizito Oreshnik kutua ukraine kwa dakika 15, umbali km 1000

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
JAMAA wamejifungia sehemu wanajadili jinsi walivyoumbuka wakijodanganya eti kilanja wao mkuu ameleta Patriot.

Sasa cha kitu kipya Kwa jina oreshnik hili kombora lilipojaribiwa kule Russia west walidharau na kusema eti Putin kawaonyesha video game sasa dude limefyatuliwa bila vichwa vya maangamizi na kuelekea Ukraine umbali km 1000 limetumia dakika 15 na wao wameshindwa kuliona katika rada.

Wameambiwa sasa wasubiri liwekwe kichwa cha maangamizi na watalifyatua popote pale military base ya yule aliyempa kombora zelesky na kupiga Russia mpaka sasa kimyaaaaaa hakuna cha long range missile iliyorushwa na Ukraine
Wanajiumauma hawaelewi na wameambiwa yapo samples tofauti. So wasiangaike kulichunguza
 
Vita ikiwa inaanza putin alisema hatomaliza wiki atachukua ukraine yote sasa mwaka wa 3 huu
Majeshi ya Zele yanajificha kwenye maeneo ya huduma za kiraia na makazi ya raia na Putin ana heshimu sheria za kimataifa zahaki za kibinadamu,hawezi shambulia maeneo ya raia, angeamua kulevel majengo mpaka magofu yangekuwa yameotesha nyasi na majani
 
Vita ikiwa inaanza putin alisema hatomaliza wiki atachukua ukraine yote sasa mwaka wa 3 huu
Angekuwa anapigana na Ukraine pekeake nakuhakikishia Zelensky asingetoboa hata wiki... Sasa tokea mwanzo wa vita anadundana na mataifa zaid ya 25 ya NATO na Ukraine imetumika km uwanja wa vita.

Mamluki wengi wa mwanzo waliopandikizwa na nato waliuawa na Wagner na wale ndo walikuwa na ujuzi na vita kuliko waliobaki sasa maana walifungiwa kwny military base za pentagon toka mwaka 2014 wakijifua kupambana na Urusi. Wale ndo kidogo waliweza hata kumtikisa urusi kwakuwa hakuwa akifahamu km kuna mamluki wameletwa. (Source: Wagner war report at 2022)
 
Back
Top Bottom