Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na nikweli isingechukua wiki kuinyakua Ukraine kama wasingeingilia NATO(Nchi 32).Jimbo la crimea la ukraine lilinyakuliwa siku Moja tu na urusi kiurahisi kabisa.
Rusia mwenye air defense nzuri ,anachezea kipigo Cha Ukraine storm Shadow Atacism zinapenya ,kule Iran si alipereke s 300 na S 400 zikatiwa kiberiti zoteUSA ni mzee wa kuwadanganya wenzake Air defence system yao ni mbovu ndo kawagawia mashoga zake wanatumia kijilinda alafu tunaona Iran wakirusha missiles Israel zinapiga target sahiv ukraine nae rada hazioni hata kombora likipita
Kunatofauti ndogo sn kati ya putin na mandonga, ss hv putin wanamtekenya tu kama mwanasesereNaomba nikazie, Putin kasema majaribio ya Oreshnik bado yataendelea kufanyika. Yatafanyika wapi? Zele ataamua.
Tafuta kazi yakufanya mkuuPutin ni mpango wa Mungu kuikomboa dunia!
Kwahiyo ukraine mmoja ni sawa na nchi 59, kweli putin ameshikwa safari hii.Kombora lile la ajabu lilipigwa ndani ya Ukraine,lakini NATO wamekua kikao kulijadili,je Ukraine ni mwanachama wa NATO?
Ingawa Putin hakutamka kwamba atataipiga Ukraine Kwa wiki moja lakini kilichopelekea vita kuchukua miaka miwili ni hao NATO kumsaidia Ukraine.
Hebu wewe mwenyewe fikiria nchi moja inapigana na nchi 59 je unaionaje nchi hiyo?
Soma hapo chini NATO wamekaa kikao kujadili kombora hilo ndio utajua ushiriki wao katika vita hii.
The powerful next-level, multiple-warhead battlefield weapon, which has been analyzed by the Pentagon, has prompted NATO to hold an emergency summit on Tuesday.
Rusia analilia tu ,anatushia nuke ,wakati Ukraine naye anayo nuke akiwasha naye anawashiwa ,Lile Zee ni jinga linaharibu uchumi wa nchi yake raia wanateseka alafu kusifia ujinga ,Rusia imekuwa
Rusia mwenye air defense nzuri ,anachezea kipigo Cha Ukraine storm Shadow Atacism zinapenya ,kule Iran si alipereke s 300 na S 400 zikatiwa kiberiti zote
Bado Ukraine ni mwamba
Rusia analilia tu ,anatushia nuke ,wakati Ukraine naye anayo nuke akiwasha naye anawashiwa ,Lile Zee ni jinga linaharibu uchumi wa nchi yake raia wanateseka alafu kusifia ujinga ,
Mungu yupi au Allah kipenzi cha magaid?Putin ni mpango wa Mungu kuikomboa dunia!
una uhakika UKRAINE ana silaha nyuklia au umeamua kufurahisha kijiweRusia analilia tu ,anatushia nuke ,wakati Ukraine naye anayo nuke akiwasha naye anawashiwa ,Lile Zee ni jinga linaharibu uchumi wa nchi yake raia wanateseka alafu kusifia ujinga ,
Ukraine haina mabomu ya nyuklia. Iliyakabidhi kwa Russia kama sharti la kuwa nchi huru toka kwenye umoja ya Soviet. Hata angekuwa nayo bado angekosa delivery system kama ilivyo Oreshnik.Rusia analilia tu ,anatushia nuke ,wakati Ukraine naye anayo nuke akiwasha naye anawashiwa ,Lile Zee ni jinga linaharibu uchumi wa nchi yake raia wanateseka alafu kusifia ujinga ,
Kweli ndio maana Mimi Niko kimyaa nahofia kuweka ushabikiWewe kitoto cha genz, kanywe maziwa ulale, haya mambo yako nje ya upeo wako wa ufahamu.
kwan na alianza kumshambulia mwenzie ? Ukraine anaipigia Urusi au anawatoa wanajeshi wa Urusi nchini mwake?JAMAA wamejifungia sehemu wanajadili jinsi walivyoumbuka wakijodanganya eti kilanja wao mkuu ameleta Patriot.
Sasa cha kitu kipya Kwa jina oreshnik hili kombora lilipojaribiwa kule Russia west walidharau na kusema eti Putin kawaonyesha video game sasa dude limefyatuliwa bila vichwa vya maangamizi na kuelekea Ukraine umbali km 1000 limetumia dakika 15 na wao wameshindwa kuliona katika rada.
Wameambiwa sasa wasubiri liwekwe kichwa cha maangamizi na watalifyatua popote pale military base ya yule aliyempa kombora zelesky na kupiga Russia mpaka sasa kimyaaaaaa hakuna cha long range missile iliyorushwa na Ukraine
Wanajiumauma hawaelewi na wameambiwa yapo samples tofauti. So wasiangaike kulichunguza
tuletee hiyo sehem BBC waliposema Russia imemaliza silaha , nataka nkuoneshe ulivyo mpuuz usiejuwa kusoma habari , yaan BBC wanatoa Nukuu aliyosema mtu fulan , kwa ujinga wako unasema BBC ndo wamesema , elimu ya ccmu imewafanya watu weusi kuwa wajinga zaidNiliacha kufuatilia hii vita baada ya bibisi kusema Russia imemaliza siraha na Sasa wanatumia chepe(koleo) kupigana na wanajeshi wa Ukraine. Nikaona hii vita kumbe imekaa kishabiki sana
kwan nan alimvamia mwenzie ?Hiyo Patriot ilishindwa kuzuwia kombora aina za SCUD kutoka kwa Saddam,ndio ije izuwie missiles za kileo!
Huyo Joti wa Ukraine anaingizwa mkenge tu.
Bado yupo kwenye operation ?Siku Putin anatangaza operation sio vita hakusema hicho kitu fuatilia
Kiufup Ukraine kafanikiwa maana baada ya vita hii Urusi atachukua miaka ming sn kurudi kweny game , achana na stori za vijiweni , kwasasa Urusi ni kakoloni ka China na China hatoruhusu kuwa na taifa kuwa kijeshi sw na yeye , na ndio maana China anamfadhiri Urusi ili adhoofike mapemaKwahiyo ukraine mmoja ni sawa na nchi 59, kweli putin ameshikwa safari hii.