Zelenskyy na wenzake kimya hawajarusha tena makombora yao baada ya kitu kizito Oreshnik kutua ukraine kwa dakika 15, umbali km 1000

Zelenskyy na wenzake kimya hawajarusha tena makombora yao baada ya kitu kizito Oreshnik kutua ukraine kwa dakika 15, umbali km 1000

JAMAA wamejifungia sehemu wanajadili jinsi walivyoumbuka wakijodanganya eti kilanja wao mkuu ameleta Patriot.

Sasa cha kitu kipya Kwa jina oreshnik hili kombora lilipojaribiwa kule Russia west walidharau na kusema eti Putin kawaonyesha video game sasa dude limefyatuliwa bila vichwa vya maangamizi na kuelekea Ukraine umbali km 1000 limetumia dakika 15 na wao wameshindwa kuliona katika rada.

Wameambiwa sasa wasubiri liwekwe kichwa cha maangamizi na watalifyatua popote pale military base ya yule aliyempa kombora zelesky na kupiga Russia mpaka sasa kimyaaaaaa hakuna cha long range missile iliyorushwa na Ukraine
Wanajiumauma hawaelewi na wameambiwa yapo samples tofauti. So wasiangaike kulichunguza
Hakuna mfumo wowote wa Ulinzi unaweza zuia mabomu/makombora makubwa ni stori za kunidanganya tuu
 
Kuna watu wanadhani Rusia n
Tuliza mpira, mambo yanajiseti, France jana pia ametangaza silaha zake zipige popote Russia, nadhan hujafuatilia vizuri jana zaidi ya mizinga 15 imetua kwenye ardhi ya Russia em jifunze kupitia kwanza vyombo vya habari ndio uje na uputini wako hapa
i mtemi hivyo ,kumbe ni WA kawaida tu , yeye Rusia Kila akipigwa kidogo anakuja na toleo jipya la silaha ndo ujue ya kuwa ni mweupe ,wenzie wanamsoma tu kwamba yeye ndo wa kwanza kuwa na hypasonic ?wenye mizigo wametulia ,yeye mayowe mengi ,kamaliza kuuwa jeshi lake lote Sasa ana ya na la mjinga mwenzie noth Korea ,ndo ujue Hana lolote ni mbwembwe tu
 
Angekuwa anapigana na Ukraine pekeake nakuhakikishia Zelensky asingetoboa hata wiki... Sasa tokea mwanzo wa vita anadundana na mataifa zaid ya 25 ya NATO na Ukraine imetumika km uwanja wa vita.

Mamluki wengi wa mwanzo waliopandikizwa na nato waliuawa na Wagner na wale ndo walikuwa na ujuzi na vita kuliko waliobaki sasa maana walifungiwa kwny military base za pentagon toka mwaka 2014 wakijifua kupambana na Urusi. Wale ndo kidogo waliweza hata kumtikisa urusi kwakuwa hakuwa akifahamu km kuna mamluki wameletwa. (Source: Wagner war report at 2022)
Hakuna vita nchi inapigana yenyewe, hata Russia ipo supported na North Korea, Iran na China. kinachohofiwa ni nuclear war ila Putin angeweza kuchakazwa ndani ya wiki tu.
 
Majeshi ya Zele yanajificha kwenye maeneo ya huduma za kiraia na makazi ya raia na Putin ana heshimu sheria za kimataifa zahaki za kibinadamu,hawezi shambulia maeneo ya raia, angeamua kulevel majengo mpaka magofu yangekuwa yameotesha nyasi na majani
Kabisa,na ukizingatia hao ni ndugu zake,ivyo anapigana nao kistaarabu sana.
 
Unaelewa maana ya neno niliacha kufuatilia? Halafu hapo unipe kazi ya kijinga kabisa nitafute link Kwa sababu ya ujinga wako?
Ama kweli kichwa chako kimejaza mavi mtupu.
wajinga km ww mpo wengi , HAMJUI TOFAUTI YA NUKUU ILIYOTOLEWA NA BBC vs KAULI ILIYOTOLEWA NA BBC
 
Hivi mashabiki wa Putin hamuoni aibu taifa lenye nguvu za kijeshi Russia kushindwa kuiteka Ukraine kwa miaka3??
Marekani ilitumia muda gani kuiteka Afghanistan na Iraq 🇮🇶?

Marekani haijawahi kuiteka Afghanstan wala Iraq. Russia imeiteka Ukraine na imechukua eneo kubwa la Ukraine sawa na ukubwa wa nchi mojawapo ya Ulaya. Marekani imeteka eneo lenye ukubwa gani la Afghanstan na Iraq?
 
JAMAA wamejifungia sehemu wanajadili jinsi walivyoumbuka wakijodanganya eti kilanja wao mkuu ameleta Patriot.

Sasa cha kitu kipya Kwa jina oreshnik hili kombora lilipojaribiwa kule Russia west walidharau na kusema eti Putin kawaonyesha video game sasa dude limefyatuliwa bila vichwa vya maangamizi na kuelekea Ukraine umbali km 1000 limetumia dakika 15 na wao wameshindwa kuliona katika rada.

Wameambiwa sasa wasubiri liwekwe kichwa cha maangamizi na watalifyatua popote pale military base ya yule aliyempa kombora zelesky na kupiga Russia mpaka sasa kimyaaaaaa hakuna cha long range missile iliyorushwa na Ukraine
Wanajiumauma hawaelewi na wameambiwa yapo samples tofauti. So wasiangaike kulichunguza
Mrusi na Yemen kuwashinda vita ni miujiza sana 😢 😅
 
JAMAA wamejifungia sehemu wanajadili jinsi walivyoumbuka wakijodanganya eti kilanja wao mkuu ameleta Patriot.

Sasa cha kitu kipya Kwa jina oreshnik hili kombora lilipojaribiwa kule Russia west walidharau na kusema eti Putin kawaonyesha video game sasa dude limefyatuliwa bila vichwa vya maangamizi na kuelekea Ukraine umbali km 1000 limetumia dakika 15 na wao wameshindwa kuliona katika rada.

Wameambiwa sasa wasubiri liwekwe kichwa cha maangamizi na watalifyatua popote pale military base ya yule aliyempa kombora zelesky na kupiga Russia mpaka sasa kimyaaaaaa hakuna cha long range missile iliyorushwa na Ukraine
Wanajiumauma hawaelewi na wameambiwa yapo samples tofauti. So wasiangaike kulichunguza

View: https://x.com/bbcswahili/status/1860677297012904225?t=3mOn0OOpbfFy9Pw4QTk8Sg&s=19
 
Zelensky ni bora akawaambia hao jamaa zake kuwa hataki vita, imeshakuwa ni mashindano ya silaha mpya za kisasa. Jamaa zake nao wanataka waingie vitani kutumia silaha zao na kuzijua ufanisi wake. Bora vita imalizike tu maana kila taifa lina silaha mpya watataka kuzijaribu ubora wake, ni hatari kwa kweli
Kayataka wacha yamkute
 
Marekani haijawahi kuiteka Afghanstan wala Iraq. Russia imeiteka Ukraine na imechukua eneo kubwa la Ukraine sawa na ukubwa wa nchi mojawapo ya Ulaya. Marekani imeteka eneo lenye ukubwa gani la Afghanstan na Iraq?
Kojoa kalale kumbe wa bado mtoto
 
JAMAA wamejifungia sehemu wanajadili jinsi walivyoumbuka wakijodanganya eti kilanja wao mkuu ameleta Patriot.

Sasa cha kitu kipya Kwa jina oreshnik hili kombora lilipojaribiwa kule Russia west walidharau na kusema eti Putin kawaonyesha video game sasa dude limefyatuliwa bila vichwa vya maangamizi na kuelekea Ukraine umbali km 1000 limetumia dakika 15 na wao wameshindwa kuliona katika rada.

Wameambiwa sasa wasubiri liwekwe kichwa cha maangamizi na watalifyatua popote pale military base ya yule aliyempa kombora zelesky na kupiga Russia mpaka sasa kimyaaaaaa hakuna cha long range missile iliyorushwa na Ukraine
Wanajiumauma hawaelewi na wameambiwa yapo samples tofauti. So wasiangaike kulichunguza
Hata kama ni wewe lazima muitishe kwanza vikao mjadili kilichotokea
 
Vita ikiwa inaanza putin alisema hatomaliza wiki atachukua ukraine yote sasa mwaka wa 3 huu
Tatizo sio Ukraine tatizo anapigana na US, UK, Germany, France, Canada, etc.. wote hawa wanapigana na Russia ndani ya ardhi ya Ukraine.
Hawa wote wamepeleka silaha zao kuzitest hapo Ukraine
Yani Zelensky ni raisi Fala kabisa kuruhusu nchi yake kuwa kifusi kwa majaribio ya silaha za wengine
 
Back
Top Bottom