Gatabhanya
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 2,644
- 5,178
Katafute kwenye vyombo vya habari vya kueleweka sio unasubiri taarifa za facebookHizo ni habari za vijiweni lieutenant Colonel Putin hamjawahi kusema hivyo! Over
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katafute kwenye vyombo vya habari vya kueleweka sio unasubiri taarifa za facebookHizo ni habari za vijiweni lieutenant Colonel Putin hamjawahi kusema hivyo! Over
Siku Putin anatangaza operation sio vita hakusema hicho kitu fuatiliaKatafute kwenye vyombo vya habari vya kueleweka sio unasubiri taarifa za facebook
Sawa umeshindaSiku Putin anatangaza operation sio vita hakusema hicho kitu fuatilia
Mashetani wana Mungu wao pia.Putin ni mpango wa Mungu kuikomboa dunia!
Weka video bloangu acha maneno mobJAMAA wamejifungia sehemu wanajadili jinsi walivyoumbuka wakijodanganya eti kilanja wao mkuu ameleta Patriot.
Sasa cha kitu kipya Kwa jina oreshnik hili kombora lilipojaribiwa kule Russia west walidharau na kusema eti Putin kawaonyesha video game sasa dude limefyatuliwa bila vichwa vya maangamizi na kuelekea Ukraine umbali km 1000 limetumia dakika 15 na wao wameshindwa kuliona katika rada.
Wameambiwa sasa wasubiri liwekwe kichwa cha maangamizi na watalifyatua popote pale military base ya yule aliyempa kombora zelesky na kupiga Russia mpaka sasa kimyaaaaaa hakuna cha long range missile iliyorushwa na Ukraine
Wanajiumauma hawaelewi na wameambiwa yapo samples tofauti. So wasiangaike kulichunguza
Siyo Zele ni Sele yaani mtu wa hovyo😅Naomba nikazie, Putin kasema majaribio ya Oreshnik bado yataendelea kufanyika. Yatafanyika wapi? Zele ataamua.
Hakuna kitu kama hicho alichosema Putin mambo ya masaa kama Israel+USA+Germany+all European countries wanaishambulia gaza eneo dogo mwaka umepita na hawajafikia malengo kupata mateka ndio itakua puttin aseme siku kwa Ukraine Kuna vitu kutumia tu akiliKatafute kwenye vyombo vya habari vya kueleweka sio unasubiri taarifa za facebook
Kombora lile la ajabu lilipigwa ndani ya Ukraine,lakini NATO wamekua kikao kulijadili,je Ukraine ni mwanachama wa NATO?Vita ikiwa inaanza putin alisema hatomaliza wiki atachukua ukraine yote sasa mwaka wa 3 huu
Mwaka wa 3 huuKombora lile la ajabu lilipigwa ndani ya Ukraine,lakini NATO wamekua kikao kulijadili,je Ukraine ni mwanachama wa NATO?
Ingawa Putin hakutamka kwamba atataipiga Ukraine Kwa wiki moja lakini kilichopelekea vita kuchukua miaka miwili ni hao NATO kumsaidia Ukraine.
Hebu wewe mwenyewe fikiria nchi moja inapigana na nchi 59 je unaionaje nchi hiyo?
Soma hapo chini NATO wamekaa kikao kujadili kombora hilo ndio utajua ushiriki wao katika vita hii.
The powerful next-level, multiple-warhead battlefield weapon, which has been analyzed by the Pentagon, has prompted NATO to hold an emergency summit on Tuesday.
Mwaka wa 3 huuKombora lile la ajabu lilipigwa ndani ya Ukraine,lakini NATO wamekua kikao kulijadili,je Ukraine ni mwanachama wa NATO?
Ingawa Putin hakutamka kwamba atataipiga Ukraine Kwa wiki moja lakini kilichopelekea vita kuchukua miaka miwili ni hao NATO kumsaidia Ukraine.
Hebu wewe mwenyewe fikiria nchi moja inapigana na nchi 59 je unaionaje nchi hiyo?
Soma hapo chini NATO wamekaa kikao kujadili kombora hilo ndio utajua ushiriki wao katika vita hii.
The powerful next-level, multiple-warhead battlefield weapon, which has been analyzed by the Pentagon, has prompted NATO to hold an emergency summit on Tuesday.
Kafatilie kwanza halafu urudiHakuna kitu kama hicho alichosema Putin mambo ya masaa kama Israel+USA+Germany+all European countries wanaishambulia gaza eneo dogo mwaka umepita na hawajafikia malengo kupata mateka ndio itakua puttin aseme siku kwa Ukraine Kuna vitu kutumia tu akili
Putin ameamua kuidhohofisha ukraine na ulaya kiuchumi nchi nyingi za ulaya zinayumba kiuchumi kutokana na hiyo vita akiamua kuimaliza ukraine kwa mabomu hata wewe hutorudi kuandika tena hapa!Vita ikiwa inaanza putin alisema hatomaliza wiki atachukua ukraine yote sasa mwaka wa 3 huu
SawaPutin ameamua kuidhohofisha ukraine na ulaya kiuchumi nchi nyingi za ulaya zinayumba kiuchumi kutokana na hiyo vita akiamua kuimaliza ukraine kwa mabomu hata wewe hutorudi kuandika tena hapa!
Kwa hiyo, wewe unadhani kivita na kwa kuwa na silaha nzito Russia inawazidi Marekani au ni mimi sijaelewa?JAMAA wamejifungia sehemu wanajadili jinsi walivyoumbuka wakijodanganya eti kilanja wao mkuu ameleta Patriot.
Sasa cha kitu kipya Kwa jina oreshnik hili kombora lilipojaribiwa kule Russia west walidharau na kusema eti Putin kawaonyesha video game sasa dude limefyatuliwa bila vichwa vya maangamizi na kuelekea Ukraine umbali km 1000 limetumia dakika 15 na wao wameshindwa kuliona katika rada.
Wameambiwa sasa wasubiri liwekwe kichwa cha maangamizi na watalifyatua popote pale military base ya yule aliyempa kombora zelesky na kupiga Russia mpaka sasa kimyaaaaaa hakuna cha long range missile iliyorushwa na Ukraine
Wanajiumauma hawaelewi na wameambiwa yapo samples tofauti. So wasiangaike kulichunguza
Lakini si ndivyo Puttin alikuwa amesema? Wakati huo tulikuwa tunaambiwa bado kilomita 40 vifaru viingie Jiji la Ukraine? Sasa sijui zimeshabakia kilomita ngapi.Putin ameamua kuidhohofisha ukraine na ulaya kiuchumi nchi nyingi za ulaya zinayumba kiuchumi kutokana na hiyo vita akiamua kuimaliza ukraine kwa mabomu hata wewe hutorudi kuandika tena hapa!
Tangu anaanza vita tayari alijua kuna mikono ya watu nyuma yake na ndio ilikuwa lengo kuwazuia wasilete utawala wao ukraineAngekuwa anapigana na Ukraine pekeake nakuhakikishia Zelensky asingetoboa hata wiki... Sasa tokea mwanzo wa vita anadundana na mataifa zaid ya 25 ya NATO na Ukraine imetumika km uwanja wa vita.
Mamluki wengi wa mwanzo waliopandikizwa na nato waliuawa na Wagner na wale ndo walikuwa na ujuzi na vita kuliko waliobaki sasa maana walifungiwa kwny military base za pentagon toka mwaka 2014 wakijifua kupambana na Urusi. Wale ndo kidogo waliweza hata kumtikisa urusi kwakuwa hakuwa akifahamu km kuna mamluki wameletwa. (Source: Wagner war report at 2022)
Na nikweli isingechukua wiki kuinyakua Ukraine kama wasingeingilia NATO(Nchi 32).Jimbo la crimea la ukraine lilinyakuliwa siku Moja tu na urusi kiurahisi kabisa.Vita ikiwa inaanza putin alisema hatomaliza wiki atachukua ukraine yote sasa mwaka wa 3 huu
Masaa 72 bado hana jipya Yani ka Ukraine kanamsumbua hiviMwamba putin
Katafute kwenye vyombo vya habari vya kueleweka sio unasubiri taarifa za f
Masaa 72 bado hana jipya Yani ka Ukraine kanamsumbua hiviMwamba putin
Katafute kwenye vyombo vya habari vya kueleweka sio unasubiri taarifa za f