Zelenskyy na wenzake kimya hawajarusha tena makombora yao baada ya kitu kizito Oreshnik kutua ukraine kwa dakika 15, umbali km 1000

Zelenskyy na wenzake kimya hawajarusha tena makombora yao baada ya kitu kizito Oreshnik kutua ukraine kwa dakika 15, umbali km 1000

JAMAA wamejifungia sehemu wanajadili jinsi walivyoumbuka wakijodanganya eti kilanja wao mkuu ameleta Patriot.

Sasa cha kitu kipya Kwa jina oreshnik hili kombora lilipojaribiwa kule Russia west walidharau na kusema eti Putin kawaonyesha video game sasa dude limefyatuliwa bila vichwa vya maangamizi na kuelekea Ukraine umbali km 1000 limetumia dakika 15 na wao wameshindwa kuliona katika rada.

Wameambiwa sasa wasubiri liwekwe kichwa cha maangamizi na watalifyatua popote pale military base ya yule aliyempa kombora zelesky na kupiga Russia mpaka sasa kimyaaaaaa hakuna cha long range missile iliyorushwa na Ukraine
Wanajiumauma hawaelewi na wameambiwa yapo samples tofauti. So wasiangaike kulichunguza

Wameufyata kimyaaaa.. sasa hivi wanajadili oreshnk cheki vyombo vyote vya habari vya west hakuna wanachoongea ila hiyo silaha mpya ya Russia.

Russia is super power by now. Ina silaha ambazo hakuna duniani.. west wajichanganye tena waone
 
Vita ikiwa inaanza putin alisema hatomaliza wiki atachukua ukraine yote sasa mwaka wa 3 huu
Naomba hiyo link na mimi nikajisomee. As far as I know; hakuna chombo chochote cha Russia kilicho wahi kutamka kwamba vita vitachukua muda gani; as far as I remember it was USA na CIA ndio waliotamka hayo maneno few days kabla vita haijaanza; sasa naomba nami nikajiridhishe ili nibadiri mtazamo
 
Naomba hiyo link na mimi nikajisomee. As far as I know; hakuna chombo chochote cha Russia kilicho wahi kutamka kwamba vita vitachukua muda gani; as far as I remember it was USA na CIA ndio waliotamka hayo maneno few days kabla vita haijaanza; sasa naomba nami nikajiridhishe ili nibadiri mtazamo
Yes ni assessment za CIA hizo ndio Putin aliwaambia wanajeshi wake huwezi kupata hadharani mkuu
 
Hakuna kitu kama hicho alichosema Putin mambo ya masaa kama Israel+USA+Germany+all European countries wanaishambulia gaza eneo dogo mwaka umepita na hawajafikia malengo kupata mateka ndio itakua puttin aseme siku kwa Ukraine Kuna vitu kutumia tu akili
we umeenda shule kwel yan US,EUROPE NA ISRAEL washindwe vita na HAMAS
 
Back
Top Bottom