Zelensnky aeleza malengo yake kivita ni pamoja na kuikomboa Crimea kuirudisha kwenye himaya yake

Zelensnky aeleza malengo yake kivita ni pamoja na kuikomboa Crimea kuirudisha kwenye himaya yake

Ni maneno ya kishujaa ambayo kila kiongozi uwa anayatumia.mpaka crimea irudi huyo Mrusi atabaki anakuangalia tu wakati nyuklia zipo
Majeshi ya NATO yalishafanya mazoezi ya kivita ya namna kujilinda na kupambana na silaha za nyukilia endapo Russia atazitumia

Teknolojia ziko juu sana sasa hivi
Unaweza jaribu washa nyukilia watu wakazima kwa remote tu!!
 
Majeshi ya NATO yalishafanya mazoezi ya kivita ya namna kujilinda na kupambana na silaha za nyukilia endapo Russia atazitumia

Teknolojia ziko juu sana sasa hivi
Unaweza jaribu washa nyukilia watu wakazima kwa remote tu!!
... siku mwendawazimu Putin atakapojaribu kuwasha nyuklia for sure Moscow, Petersburg, na miji mingine itageuka majivu. Asidhani nukes anazo yeye tu; na wengine wanazo na options zote zimekamilika. Anasubiriwa yeye tu; hata Biden juzi kati alisema wako tayari kwa lolote analotaka kufanya huyo mwehu!
 
Akihojiwa na vyombo vya habari Raisi wa Ukraine Zelensnky amesema malengo la sasa kivita kwa Ukraine ni kwanza kuzuia majeshi ya Urusi kusonga mbele ndani ya Ukraine na la pili ni kuyarudisha maeneo ya ndani ya Ukraine yanayoshikiliwa na Urusi na Tatu kukomboa maeneo yote ambayo Urusi iliyachukua huko nyuma ikiwemo Crimea nk

"As Russia continues its attacks on Ukraine, President Volodymyr Zelensky said that they are seeking full restoration of territory - including Crimea.

Speaking at the Wall Street Journal's CEO council summit, Zelensky mentioned three top goals: to halt Russia's advance, reclaim territory and restore Ukraine's entire territory'
Kwanza hiyo cremia haiwezi kurudi Ukraine kamwe hawana uwezo huo Sasa hivi tunaongeza Donbass na miji ya mashariki ambayo tayari IPO chini ya warusi
 
Ndio mana sasa Putin ameona hakuna mchezo tena May 9 huenda akatangaza vita kamili badala ya ile anayoiita operation kufeli kuliko kufeli., ni tofauti kabisa, russia ili-take it easy. Urusi watafurushwa Ukraine kama kuku na watarudi kwao wakajipange tena,
Kutangaza vita kamili maana yake operation imefeli, au tafsiri ya kawaida haiwezi kuzaa matunda.
 
Afya ya Putin imeshakuwa ni mgogoro nayo kwasababu Parkinson imekata mwili wake kwelikweli..
Western countries wanachota ni kurefusha hii vita ifike mpaka December na majibu juu ya vikwazo vya uchumi yataanza kujibu kupitia wananchi wake mwenyewe
Na itaenda mpaka mwakani, japo hatujajua vita kamili alotangaza putin italeta nini ndani ya ukraine.
 
Umenikumbusha msemo wa kikurya usemao mtoto huamini kuwa baba yake ndie mwenye nguvu kuliko yeyote kijijini sababu anapiga wao na mama yao .Imani hiyo huyeyuka Siku wakimkuta baba yao anapata kipigo cha mbwa koko kutoka kwa mwanaume mwenzie waliyegombana kwenye pombe na kumkuta analia kama mtoto kwa kipigo

Ndipo anajua aaah kumbe nilichokuwa nikiamini sicho baba naye boya tu
Hahahahahahahaha
 
Kutangaza vita kamili maana yake operation imefeli, au tafsiri ya kawaida haiwezi kuzaa matunda.
Uko sahihi Russia lengo lao kubwa lilikuwa ku demilitarize uwezo wa kijeshi wa Ukraine na Kuua capability ya kijeshi ya Ukraine isiwe na uwezo kupigana

Lengo limefeli kwa asilimia 99 .Ukraine wako fit kupigana
 
... siku mwendawazimu Putin atakapojaribu kuwasha nyuklia for sure Moscow, Petersburg, na miji mingine itageuka majivu. Asidhani nukes anazo yeye tu; na wengine wanazo na options zote zimekamilika. Anasubiriwa yeye tu; hata Biden juzi kati alisema wako tayari kwa lolote analotaka kufanya huyo mwehu!
Zile laser weapons zitafanya kazi huko Ukraine. Wakati tunafikiria Ukraine kushushiwa Nuclear, tufikirie pia huko Moscow vitapelekwa vitu gani.
 
Zile laser weapons zitafanya kazi huko Ukraine. Wakati tunafikiria Ukraine kushushiwa Nuclear, tufikirie pia huko Moscow vitapelekwa vitu gani.
Kwani warusi hawana laser weapon hata hivyo sijui unafikia Kwa nini kwa sababu Nuclear ni silaha ambazo zipo Kwa ajili ya NATO.yaani zitatumika Kwa ajili ya uingereza Na marekani.Samart 1 Tu inaweza kuangamiza hicho kisiwa kimoja cha uingereza.
 
Zile laser weapons zitafanya kazi huko Ukraine. Wakati tunafikiria Ukraine kushushiwa Nuclear, tufikirie pia huko Moscow vitapelekwa vitu gani.
Warusi wanaweza kuangamiza hicho kisiwa chenu cha uingereza kirahisi Sana.View attachment 2211082
Screenshot_20220504-124806.jpg
 
Afya ya Putin imeshakuwa ni mgogoro nayo kwasababu Parkinson imekata mwili wake kwelikweli..
Western countries wanachota ni kurefusha hii vita ifike mpaka December na majibu juu ya vikwazo vya uchumi yataanza kujibu kupitia wananchi wake mwenyewe
Vikwazo walisema may ndo vitaan a kumtafuna Putin na Urusi. Hivyo wananchi watarise kumuangusha kuhani Putin. Sawa naona washasogeza kidogo mpaka December
 
Back
Top Bottom