Usia wa busara kutoka kwa shujaa Volodymyr Zelenskyy.

Usia wa busara kutoka kwa shujaa Volodymyr Zelenskyy.

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Volodymyr Oleksandrovych Zelenskyy atabaki kuwa shujaa. Nukuu yake muhimu ya uzalendo hii hapa.
20250225_123843.jpg
 
Kipenga kinaendelea

Mkuuu alitaka kuleta mabishano na USA

Mwisho kasema Yuko radhi ajiuzulu Ukraine iingie NATO


Mkuu WA USA kamwambia NATO unaitaka HAPO tokaaa


natumaini soon kusikia kijana akituaga akiagwa kwa HESHIMA kubwaa

Kila la kheri mkuu umeipambania nchi yako

Kongamano la KUKANYAGA nyayoo kawe Tanganyika packers

N JUMAPILI HIIIIIIIIII

Awamu ziko mbili

Saa Moja mpaka sa nane

Sa nane mpaka jion

Njoo ukanyage mafuta nyayoo zakoo zissafishwe nyota yako irudi

Watu WA dini zotee mnakaribishwa kwa Dk Mwampoosa

Mbarikiwe
 
Nchi ikiwa kwenye vita haiwezi kufanya uchaguzi. Hata Uingereza wakati wa vita vikuu vya pili vya dunia haikufanya uchaguzi.
Marekani Walifanya Uchaguzi Mara ngapi wakiwa Vitani
Anaye Pigana naye Mbona kafanya Uchaguz
 
Kipenga kinaendelea

Mkuuu alitaka kuleta mabishano na USA

Mwisho kasema Yuko radhi ajiuzulu Ukraine iingie NATO


Mkuu WA USA kamwambia NATO unaitaka HAPO tokaaa


natumaini soon kusikia kijana akituaga akiagwa kwa HESHIMA kubwaa

Kila la kheri mkuu umeipambania nchi yako

Kongamano la KUKANYAGA nyayoo kawe Tanganyika packers

N JUMAPILI HIIIIIIIIII

Awamu ziko mbili

Saa Moja mpaka sa nane

Sa nane mpaka jion

Njoo ukanyage mafuta nyayoo zakoo zissafishwe nyota yako irudi

Watu WA dini zotee mnakaribishwa kwa Dk Mwampoosa

Mbarikiwe
😁😁 Dr mwamposaa
 
Back
Top Bottom