Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
katiba ya Ukraine inasema nchi ikiwa vitani haifanyi uchaguziNitamuona yy ni shujaa wa kweli akiitisha uchaguzi then wananchi wake watathibitisha hilo.
Msanii soon atapewa tuhuma ya kutumia misaada vibaya kwa maslahi yake. Lazima ajute kwanini alikataa kumpa trump madini.Volodymyr Oleksandrovych Zelenskyy atabaki kuwa shujaa. Nukuu yake muhimu ya uzalendo hii hapa.
View attachment 3249059
Wananchi wanataka uchaguzi na wananchi ndio wenye nchi.katiba ya Ukraine inasema nchi ikiwa vitani haifanyi uchaguzi
Viva KidukuViva Kagame
Marekani Walifanya Uchaguzi Mara ngapi wakiwa VitaniNchi ikiwa kwenye vita haiwezi kufanya uchaguzi. Hata Uingereza wakati wa vita vikuu vya pili vya dunia haikufanya uchaguzi.
😁😁 Dr mwamposaaKipenga kinaendelea
Mkuuu alitaka kuleta mabishano na USA
Mwisho kasema Yuko radhi ajiuzulu Ukraine iingie NATO
Mkuu WA USA kamwambia NATO unaitaka HAPO tokaaa
natumaini soon kusikia kijana akituaga akiagwa kwa HESHIMA kubwaa
Kila la kheri mkuu umeipambania nchi yako
Kongamano la KUKANYAGA nyayoo kawe Tanganyika packers
N JUMAPILI HIIIIIIIIII
Awamu ziko mbili
Saa Moja mpaka sa nane
Sa nane mpaka jion
Njoo ukanyage mafuta nyayoo zakoo zissafishwe nyota yako irudi
Watu WA dini zotee mnakaribishwa kwa Dk Mwampoosa
Mbarikiwe
Marekani ?, Russia ?Nchi ikiwa kwenye vita haiwezi kufanya uchaguzi. Hata Uingereza wakati wa vita vikuu vya pili vya dunia haikufanya uchaguzi.