Justin Dimee
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 1,146
- 248
Kuna post ilipitaga umu ya interview yake na salama {mkasi} jaman mli msifu sana zembwela ni good arts sasa leo hi zembwela kawa mburura dah umu duniani bana kweli alicho kisemaga mpoki ukiona usemwii jua huja fanya kitu chochote cha maana dah. Mmmh. Zembwela apunguze kuropoka. Tu ndo atakuwa sawia.