Zembwela acha hizo

Zembwela acha hizo

Kuna post ilipitaga umu ya interview yake na salama {mkasi} jaman mli msifu sana zembwela ni good arts sasa leo hi zembwela kawa mburura dah umu duniani bana kweli alicho kisemaga mpoki ukiona usemwii jua huja fanya kitu chochote cha maana dah. Mmmh. Zembwela apunguze kuropoka. Tu ndo atakuwa sawia.
 
Namzungumzia mtangazaji wa kipindi cha supermix kinachorushwa hewani na EARadio.Nimekuwa msikilizaji wa kipindi hiki kwa muda mrefu toka kilipokuwa kinaendeshwa na Musa.Ninachokiona kwenye utangazaji wa Zembwela ni sawa sawa na ile style ya mtangazaji wa people station ambae haipiti mwezi watu humzodoa.Zembwela jirekebishe majibu ya mkato,kejeli na dharau siyo kabisa.Pia kujifanya kila kitu unajua wewe tu wengine mafisi pia sio.Muungwana ni vitendo badilika.

Kila mtu ana mapungufu yake yaani hata baba yako anayo ya kwake tena yanaweza kuwa makubwa kuliko ya zembwela. Ukibisha utakuwa una matatizo!
 
mbona jamaa mtu safi sana we utakua na matatizo yako binafsi.... Na istoshe anajua mambo meng sana kiasi ambacho we mwenye ungalikua katika kile kipindi usingalipenda kuona yakifanyika... So kavipi mkaushie mwana apige deal zake we deal na zako pia watoto wapate kula na kunya.
 
Namzungumzia mtangazaji wa kipindi cha supermix kinachorushwa hewani na EARadio.Nimekuwa msikilizaji wa kipindi hiki kwa muda mrefu toka kilipokuwa kinaendeshwa na Musa.Ninachokiona kwenye utangazaji wa Zembwela ni sawa sawa na ile style ya mtangazaji wa people station ambae haipiti mwezi watu humzodoa.Zembwela jirekebishe majibu ya mkato,kejeli na dharau siyo kabisa.Pia kujifanya kila kitu unajua wewe tu wengine mafisi pia sio.Muungwana ni vitendo badilika.

Zebwela! Yupo juu namkubali sana, na kipindi chake n moja y kipindi kinachosikilizwa sana tz,m shabiki yake no 1
 
Kila mtu ana mapungufu yake yaani hata baba yako anayo ya kwake tena yanaweza kuwa makubwa kuliko ya zembwela. Ukibisha utakuwa una matatizo!

teh teh teh,,,kifupi huwezi pendwa na wote Mungu tu mwenyewe kina Kiranga hawamjui wala kutaka kumsikia japo itakua Binadam mwenzako? We kama humpendi unapita hiviiiii


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Last edited by a moderator:
zembwela anajua sana. style yake ya utangazaji dizain nimeielewa.
 
teh teh teh,,,kifupi huwezi pendwa na wote Mungu tu mwenyewe kina Kiranga hawamjui wala kutaka kumsikia japo itakua Binadam mwenzako? We kama humpendi unapita hiviiiii


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app

Zembwela ninalolijua ni dansi la Marquis du Zaire.

Liingine photocopy.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom