Zembwela acha hizo

Kuna post ilipitaga umu ya interview yake na salama {mkasi} jaman mli msifu sana zembwela ni good arts sasa leo hi zembwela kawa mburura dah umu duniani bana kweli alicho kisemaga mpoki ukiona usemwii jua huja fanya kitu chochote cha maana dah. Mmmh. Zembwela apunguze kuropoka. Tu ndo atakuwa sawia.
 

Kila mtu ana mapungufu yake yaani hata baba yako anayo ya kwake tena yanaweza kuwa makubwa kuliko ya zembwela. Ukibisha utakuwa una matatizo!
 
mbona jamaa mtu safi sana we utakua na matatizo yako binafsi.... Na istoshe anajua mambo meng sana kiasi ambacho we mwenye ungalikua katika kile kipindi usingalipenda kuona yakifanyika... So kavipi mkaushie mwana apige deal zake we deal na zako pia watoto wapate kula na kunya.
 

Zebwela! Yupo juu namkubali sana, na kipindi chake n moja y kipindi kinachosikilizwa sana tz,m shabiki yake no 1
 
Kila mtu ana mapungufu yake yaani hata baba yako anayo ya kwake tena yanaweza kuwa makubwa kuliko ya zembwela. Ukibisha utakuwa una matatizo!

teh teh teh,,,kifupi huwezi pendwa na wote Mungu tu mwenyewe kina Kiranga hawamjui wala kutaka kumsikia japo itakua Binadam mwenzako? We kama humpendi unapita hiviiiii


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Last edited by a moderator:
zembwela anajua sana. style yake ya utangazaji dizain nimeielewa.
 
teh teh teh,,,kifupi huwezi pendwa na wote Mungu tu mwenyewe kina Kiranga hawamjui wala kutaka kumsikia japo itakua Binadam mwenzako? We kama humpendi unapita hiviiiii


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app

Zembwela ninalolijua ni dansi la Marquis du Zaire.

Liingine photocopy.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…