Benjamin10
JF-Expert Member
- Dec 31, 2016
- 409
- 598
😂 Eh bhana eee jamaa umefunguka knoma tena kwa hasira 😂 kitu kdg tuu lkn umetokwa na povu la kufulia nguo za mafundi magariSijibugi maswali ya kijinga , inahusu nini huku kwenye anonymous world.
Nipo anonymous unataka nijitambulishe gender yangu so what? Utakuwa hujielewi wewe ungeandika tu ulichotaka kuandika sio kuulizana maswali irrelevant.
Itakuwa huelewi hata maana ya Annonymous Identity
Ila huku mitandaoni tunakutana na watu wajingawajinga sana kama wewe sasa nipo anonymous ,au huelewi maana yake?
Ngoja nilog off nimalizie kuangalia game ya italy na france
Hajakamatwa kwa sababu hakujathibitishwa hayo madai yako ya ujambazi, sasa ww mwanaume nenda ukathibitishe na uache kujifanya hodari wa nyuma na keyboardHata wandishi wa habari walio kwenda kusikiliza mwendawazimu makonda nao ni wendawazimu. Hivi kweli jambazi ambaye hajakamatwa anaweza kuitisha press ili ahojiwe kama ni jambazi au sio jambazi na watu wenye akiri wakakubali kwenda kumuhoji?
Nadhani kuna shida mahali kwenye tasnia hii. Zembwela ni wale comedian katika habari. Ivona Kamuntu na Salim Kikeke ni magwiji katika tasnia. Ikawaje Zembwela ambaye elimu yake katika habari haijulikani, akawa Mwenyekiti wao?
Hii tasnia haina seniority?
Maswali yaliyokuwa yanaulizwa pia yalianiacha na maswali badala ya majibu. Ni mkutano ambao haukuwa na mpangilio. Hakuna presentation ya utekelezaji iliyofanywa kabla ya maswali.
Bado kuna kazi ya kufanya katika kuwapika waandishi wetu.
Anyway, nadhani waandishi hao waliusoma mchezo japo kwa kuchelewa, wakaona hata kuuliza maswali ni upuuzi, wakaacha.
Futuhi? Ndio ni FutuhiAnyway, nadhani waandishi hao waliusoma mchezo japo kwa kuchelewa, wakaona hata kuuliza maswali ni upuuzi, wakaacha.
Ni utapeli na usanii kama usanii mwingine,vijana wana Masters za Journalism,Media Studies,Mass Communication nk lakini wapo benchi,lakini matapeli na vilaza kama Zembwela ambao hata Certificate wala D mbili hawana eti wanapewa nafasi,Nchi ya kichoko sana hiiNadhani kuna shida mahali kwenye tasnia hii. Zembwela ni wale comedian katika habari. Ivona Kamuntu na Salim Kikeke ni magwiji katika tasnia. Ikawaje Zembwela ambaye elimu yake katika habari haijulikani, akawa Mwenyekiti wao?
Hii tasnia haina seniority?
Maswali yaliyokuwa yanaulizwa pia yalianiacha na maswali badala ya majibu. Ni mkutano ambao haukuwa na mpangilio. Hakuna presentation ya utekelezaji iliyofanywa kabla ya maswali.
Bado kuna kazi ya kufanya katika kuwapika waandishi wetu.
Anyway, nadhani waandishi hao waliusoma mchezo japo kwa kuchelewa, wakaona hata kuuliza maswali ni upuuzi, wakaacha.
Alikuwa ni Mwenyekiti anayefanana na huyo mwenye Mkutano. Mtu kama huyo alihitaji Mwenyekiti yeyote tu kusimamia mkutano wake na bado ingekuwa tu sawa.Nadhani kuna shida mahali kwenye tasnia hii. Zembwela ni wale comedian katika habari. Ivona Kamuntu na Salim Kikeke ni magwiji katika tasnia. Ikawaje Zembwela ambaye elimu yake katika habari haijulikani, akawa Mwenyekiti wao?
Hii tasnia haina seniority?
Maswali yaliyokuwa yanaulizwa pia yalianiacha na maswali badala ya majibu. Ni mkutano ambao haukuwa na mpangilio. Hakuna presentation ya utekelezaji iliyofanywa kabla ya maswali.
Bado kuna kazi ya kufanya katika kuwapika waandishi wetu.
Anyway, nadhani waandishi hao waliusoma mchezo japo kwa kuchelewa, wakaona hata kuuliza maswali ni upuuzi, wakaacha.
Huna akili...Nadhani kuna shida mahali kwenye tasnia hii. Zembwela ni wale comedian katika habari. Ivona Kamuntu na Salim Kikeke ni magwiji katika tasnia. Ikawaje Zembwela ambaye elimu yake katika habari haijulikani, akawa Mwenyekiti wao?
Hii tasnia haina seniority?
Maswali yaliyokuwa yanaulizwa pia yalianiacha na maswali badala ya majibu. Ni mkutano ambao haukuwa na mpangilio. Hakuna presentation ya utekelezaji iliyofanywa kabla ya maswali.
Bado kuna kazi ya kufanya katika kuwapika waandishi wetu.
Anyway, nadhani waandishi hao waliusoma mchezo japo kwa kuchelewa, wakaona hata kuuliza maswali ni upuuzi, wakaacha.
Ukimwaga damu ya mtu asiye kuwa na hatia hata usipo kamatwa huwezi kuwa binadamu tena. Hata ukiangaria makoda ni li mwilimwili tu lakini hana utu tena. Anajaribu kuwa public kila mara sio kwasababu anapenda ni kwasabu kaisha poteza nafusi . Kila siku anapigana vita akiwa peeke yake chumbani. Akiwa kwnye vyombo vya habali ndio anajuwa kuwa yupo hai. Ndio maana yuko tayari kufanya chochote ili asikie akitajwa.. watu walio poteza nafusi huwa wanjaribu kuwa public mara kwa mara . Kwa sababu hawana uwezo tena wa kuwa kama binadamu.. hivi wewe fikiria kila siku unajitahidi kuzuwia uovu na picha za ukatil ulio wafanyia binadamu wezako visitoke nje? Kila ukiongea unatamani useme maovu uliyo watendea binadamu wezako lakini unajizuwia. . Nafusi yako inakusuta inakwambia acha kudanganya sema tu ukweli uliuwa watu wengi , anajikuta aongea vitu vigine vyepesi visito anabaki navyo ndani.Hajakamatwa kwa sababu hakujathibitishwa hayo madai yako ya ujambazi, sasa ww mwanaume nenda ukathibitishe na uache kujifanya hodari wa nyuma na keyboard
Zembwela ni mtangazaji wa redioNadhani kuna shida mahali kwenye tasnia hii. Zembwela ni wale comedian katika habari. Ivona Kamuntu na Salim Kikeke ni magwiji katika tasnia. Ikawaje Zembwela ambaye elimu yake katika habari haijulikani, akawa Mwenyekiti wao?
Hii tasnia haina seniority?
Maswali yaliyokuwa yanaulizwa pia yalianiacha na maswali badala ya majibu. Ni mkutano ambao haukuwa na mpangilio. Hakuna presentation ya utekelezaji iliyofanywa kabla ya maswali.
Bado kuna kazi ya kufanya katika kuwapika waandishi wetu.
Anyway, nadhani waandishi hao waliusoma mchezo japo kwa kuchelewa, wakaona hata kuuliza maswali ni upuuzi, wakaacha.
Zembwela, sio professional journalist, ni mpiga makelele tu, kama wenzie Hando, kitenge, ni wapuuzi, Fulani kama baba levo,Mkandamizaji, nk,Nadhani kuna shida mahali kwenye tasnia hii. Zembwela ni wale comedian katika habari. Ivona Kamuntu na Salim Kikeke ni magwiji katika tasnia. Ikawaje Zembwela ambaye elimu yake katika habari haijulikani, akawa Mwenyekiti wao?
Hii tasnia haina seniority?
Maswali yaliyokuwa yanaulizwa pia yalianiacha na maswali badala ya majibu. Ni mkutano ambao haukuwa na mpangilio. Hakuna presentation ya utekelezaji iliyofanywa kabla ya maswali.
Bado kuna kazi ya kufanya katika kuwapika waandishi wetu.
Anyway, nadhani waandishi hao waliusoma mchezo japo kwa kuchelewa, wakaona hata kuuliza maswali ni upuuzi, wakaacha.
Una chuki binafsi , kwani Dp world aliipamba peke yake??Zembwela ni mmoja wa wale machawa wa DP World waliowakodi kuwapamba hapa nchini. Hana shida na professionalism, yeye anaangalia maokoto TU. Wala simlaumu. Inalipa sana kuwa chawa siku hizi.
Nyanda naona anakuwa chawa kwa spidi kubwa. Ila umemlipa mpaka kajenga saloon Igoma, na akafungua kampuni ya microfinanceZembwela, sio professional journalist, ni mpiga makelele tu, kama wenzie Hando, kitenge, ni wapuuzi, Fulani kama baba levo,Mkandamizaji, nk,
Waandishi wa habari, ni Doto bulendu, Mtoz Nyanda, Nk
Lile lilikuwa ni kusanyiko la wahuni tupuNadhani kuna shida mahali kwenye tasnia hii. Zembwela ni wale comedian katika habari. Ivona Kamuntu na Salim Kikeke ni magwiji katika tasnia. Ikawaje Zembwela ambaye elimu yake katika habari haijulikani, akawa Mwenyekiti wao?
Hii tasnia haina seniority?
Maswali yaliyokuwa yanaulizwa pia yalianiacha na maswali badala ya majibu. Ni mkutano ambao haukuwa na mpangilio. Hakuna presentation ya utekelezaji iliyofanywa kabla ya maswali.
Bado kuna kazi ya kufanya katika kuwapika waandishi wetu.
Anyway, nadhani waandishi hao waliusoma mchezo japo kwa kuchelewa, wakaona hata kuuliza maswali ni upuuzi, wakaacha.