Anatafuta umaarufu. Anataka kujiingiza.Shida yake na yy achanwe kwenye hiyo mixtape ili apate pa kutokea. Mngese tu.anaijua mbeya yy? Akagombee hata uenyekiti wa shina kama atapata.<br /><br />
Watu wanachukulia simple simple tu! Hizi propaganda hazifui dafu lazima wezi wachanwe.<br /><br />
zaidi zaidi kujua anapata wapi muda apite huku <a href="http://www.suguformbeya.blogspot.com/" target="_blank">www.suguformbeya.blogspot.com<br /><br />
<br /><br />
</a>