Zembwela amponda Sugu

Zembwela amponda Sugu

Antivirus ilitoka kabla sugu hajawa mbunge
<br />
<br />
Mkuu hapa tunasumbua vichwa bure tu,watu wenyewe ni wakurupukaji wanafikiri hiyo album imetoka juzi,ZUZU MWITA 25 + ZEBWELA=MFEREJ WA MAJI TAKA
 
Nashukuru kwa kufahamishwa that anti virus vol. 2 imetoka but ushauri wa bure tu nadhani its up to watu wa mbeya ku judge utekelezaji wa sugu kwani ahadi walizopewa wao ndio wanazifahamu vema kama zinatekelezwa. Ila kwa hadhi na nafasi aliyo nayo sasa mheshimiwa mbunge sugu sidhani kama ni sahihi kuendelea ku release hizo mix tapes zenye matusi. Kama ana dukuduku ni vizuri kuliwasilisha bungeni viongozi wenzie na wananchi tulichambue!
 
Ni wakati anaielezea Antivirus mixtape. Amejiuliza inakuwaje mbunge anapata muda wa kutunga matusi kwa ajili ya kuwatukana watu. Je jimbo lake la Mbeya limekamilika kwa mahitaji yake hadi anapata muda wa ziada kama huo.
Damn bullshit.
Wekeni hiyo miziki tuisikie ndipo tuhukumu
 
Ni wakati anaielezea Antivirus mixtape. Amejiuliza inakuwaje mbunge anapata muda wa kutunga matusi kwa ajili ya kuwatukana watu. Je jimbo lake la Mbeya limekamilika kwa mahitaji yake hadi anapata muda wa ziada kama huo.
<br />
<br />
basi Zimbwela ni Kichaa-mtangazaji, hajui ant virus ilitoka lini,kwani ilitoka ata sugu hajawaza kua mbunge,hivi huyu jamaa alikuaje mtangazaji wakati alikua chizi.
 
Ni wakati anaielezea Antivirus mixtape. Amejiuliza inakuwaje mbunge anapata muda wa kutunga matusi kwa ajili ya kuwatukana watu. Je jimbo lake la Mbeya limekamilika kwa mahitaji yake hadi anapata muda wa ziada kama huo.
whos is Zembwela by the way? mtu wa kufanya watu wacheke, sasa hatucheki akome tuone sijui atakula nini yeye na mkewe. mpelekee hii info maana wewe ya yeye you belong in the same group.
 
Mbona Zembwela hujiulizi viongozi mafisadi wanapata wapi muda wa kuiba?
 
  • Thanks
Reactions: tz1
Anatafuta umaarufu. Anataka kujiingiza.Shida yake na yy achanwe kwenye hiyo mixtape ili apate pa kutokea. Mngese tu.anaijua mbeya yy? Akagombee hata uenyekiti wa shina kama atapata.&lt;br /&gt;<br />
Watu wanachukulia simple simple tu! Hizi propaganda hazifui dafu lazima wezi wachanwe.&lt;br /&gt;<br />
zaidi zaidi kujua anapata wapi muda apite huku &lt;a href=&quot;http://www.suguformbeya.blogspot.com/&quot; target=&quot;_blank&quot;&gt;www.suguformbeya.blogspot.com&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
&lt;/a&gt;
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Zembwela hafai kuwa mtangazaji wa redio, hasa kwa kipindi kama hicho, hana uelewa wa kutosha kukiendesha, matamshi, nk. Ni maoni yangu tu.
 
Mbona Zembwela hujiulizi viongozi mafisadi wanapata wapi muda wa kuiba?

Kwa hiyo ni sahihi kwa Sugu kutukana, kwa kuwa mafisadi wanaiba? Na wewe unaingia kwenye hili giza?
 
Ni wakati anaielezea Antivirus mixtape. Amejiuliza inakuwaje mbunge anapata muda wa kutunga matusi kwa ajili ya kuwatukana watu. Je jimbo lake la Mbeya limekamilika kwa mahitaji yake hadi anapata muda wa ziada kama huo.
Zembwela ni nani?
 
hii mixtape inanikosha inanikumbusha enzi zangu nakamata mic kwa kutumia mento za mtoni!affirmative action,hell on earth,paparazi na instrumental kibao dah!sugu aminia sana katika hili!ntakucheck mzazi nitie vocal katika mixtape ijayo!.......!mabrazmeni vibwabwa kaeni chonjo!smart gangstar with good look is cumin!
 
Tuacheni kutetea upumbavu.......ivi nyie mnaakili sawa sawa kweli kusapoti ujinga anaouufanya sugu....mtu ameingia studio kurekodi albam ya matusi...hii inaonesha hana busara mbele ya jamii...ni muhuni...afu anajitokeza mtu anakemea nyie mnampinga...ebu kueni wakubwa bac
 
Sugu oyeeeeeeeee! Zembwela ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
 
Ni wakati anaielezea Antivirus mixtape. Amejiuliza inakuwaje mbunge anapata muda wa kutunga matusi kwa ajili ya kuwatukana watu. Je jimbo lake la Mbeya limekamilika kwa mahitaji yake hadi anapata muda wa ziada kama huo.

ndiyo maana demu mmoja humu jamvini alishangaa kwenye besday yako ulivyosema una 33 yeye aalifikiri wewe ni 17
 
Back
Top Bottom