NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
vipi kuhusu simon kabendera.kwi kwi kwi kwi kwi du yan huyo ndo ananichefuaga mtu makini hawezi fanya ujinoga huo. halaf huwa nawashangaa itv. ina maana hawaoni kama ni upuuzi na utoto anafanya. khaaaaaaa
anahisi tukisikiliza wapo radio tutaokoka na baadae kuongeza sadaka kwenye saccos zao za kidini.Mimba changa zina tabia ya kuchukia watu bila sababu, ukifika mwezi wa nne-tano mambo yako yatakuwa shwari. Kuhamahama vituo sio kipimo cha ubora. Zembwela ndie mtangazaji bora wa vipindi vya asubuhi kwa sasa baada ya Regina Mwalekwa kuhamia wapi sijui. Wewe na shoga zako munaemtaja-taja munatuthibitishia kuwa huwa munamsikiliza. Endeleeni na moyo huo huo...
anahisi tukisikiliza wapo radio tutaokoka na baadae kuongeza sadaka kwenye saccos zao za kidini.
vipi kuhusu simon kabendera.
Habari wakuu,
Nimekuwa msikilizaji mzuri wa kipindi cha supa mix cha East africa Radio kuanzia saa 3 asubuhi mpaka saa 7 mchana. Kipindi hiki kinatangazwa na Zembwela (mchekeshaji wa zamani) na mwanadada mwingine.
kinachonikera katika kipindi hiki ni upotoshaji mkubwa wa Zembwela, ambaye siamni kama ana elimu nzuri (kulingana na hoja zake) zaidi ya kuongea mambo asiyoyajua hovyo hovyo. Kazi yake kubwa ni kukebehi wabunge, serikali za mitaa n.k. bila kutoa uchambuzi yakinifu. Utangazaji huu haufai kwa maendeleo ya taifa kwani mtangazaji anatakiwa kuchambua jambo ambalo ana ufahamu nalo, na iwapo hana ufahamu wa kutosha basi aalike wataalamu wa fani husika ili watoe habari kwa kina.
Zembwela anaropoka ovyo kiasi cha kukera wasikilizaji makini,
Rai - Zembwela ulikuwa mchekeshaji mahiri, usikurupukie fani ambazo una uelewa finyu. Nakushauri uwe na busara ukufahamu kuwa unasikiliza na watanzania wenye uelewa tofauti, punguza uropokaji usio na tija.
Huku si mahala pake zumbukuku wewe.
Ndugu Hillary Daudi mbona pamoja na kupewa ushauri wa bure na wadau wako hutaki kubadilika?Maana toka umerudi likizo unatoa manyago tu .Badilika ndugu sio kila kitu unaweza kukijua hadi kukebehi wengine.Kama ni uborn here here mbona tuliozaliwa Princess Margret na Ocean road tupo lakini hatuna hizo.Wazaramo wana msemo kuwa usijifanye "sidahikaga".
mm nafikiri kipindi kina wadau wengi pamoja na ww mleta mada (underline&bold), yapo mazuri yake na mapungufu km ilivyo kwavipindi vingine, sijapenda jinsi ulivyoandika ni kama umemdharau sana,.Habari wakuu,
Nimekuwa msikilizaji mzuri wa kipindi cha supa mix cha East africa Radio kuanzia saa 3 asubuhi mpaka saa 7 mchana. Kipindi hiki kinatangazwa na Zembwela (mchekeshaji wa zamani) na mwanadada mwingine.
kinachonikera katika kipindi hiki ni upotoshaji mkubwa wa Zembwela, ambaye siamni kama ana elimu nzuri (kulingana na hoja zake) zaidi ya kuongea mambo asiyoyajua hovyo hovyo. Kazi yake kubwa ni kukebehi wabunge, serikali za mitaa n.k. bila kutoa uchambuzi yakinifu. Utangazaji huu haufai kwa maendeleo ya taifa kwani mtangazaji anatakiwa kuchambua jambo ambalo ana ufahamu nalo, na iwapo hana ufahamu wa kutosha basi aalike wataalamu wa fani husika ili watoe habari kwa kina.
Zembwela anaropoka ovyo kiasi cha kukera wasikilizaji makini,
Rai - Zembwela ulikuwa mchekeshaji mahiri, usikurupukie fani ambazo una uelewa finyu. Nakushauri uwe na busara ukufahamu kuwa unasikiliza na watanzania wenye uelewa tofauti, punguza uropokaji usio na tija.
Haya bwana nabii mwenzio anapiga pesa wasafi now [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hivi ni kwa nini mnaendelea kusikiliza vipindi vinavyoongozwa na watu wapuuzi kama Zembwela, Kibonde, Hando, Shafi Dauda & likes?
Karibuni Wapo Radio Fm tuchambuwe mada motomoto kwenye meza ya busara na Sabinus Mbogo, jana nilisikiliza hicho kipindi cha Super Mix na niliapa kamwe sintosikiliza tena kipindi hicho kinachoongozwa na mtu mwehu asiye na akili ambaye anajihisi ni Genious kumbe kichwa maji matupu.
Kuna kijana alikuwa anatangaza na Zembwela jina nimemsahau na sasa amehama hapo East African radio, kwakweli huyu kijana alikuwa ni msaada mkubwa sana kwa Zembwela na alijitahidi sana kumshape lakini sasa hivi mambo ni shaghalabagala.
Imagine kijana wa miaka 30 eti anajiita Babu na badly analazimisha na yule binti anaetangaza naye aitwe Bibi, this is rubbish, i will never tune my radio kusikiliza upuuzi wa Zembwela.
Na ushahidi wa haya ninayoyasema Zembwela atafia EA radio au atafukuzwa muda wake ukifika lakini hana vigezo vya kuombwa na redio nyingine kuhamia kwao, wenye sifa hizo wanajulikana ni watu wa kariba ya Fredwaa aliyekuwaga Redio Free Africa.