Zembwela katika Super mix

Zembwela katika Super mix

kwi kwi kwi kwi kwi du yan huyo ndo ananichefuaga mtu makini hawezi fanya ujinoga huo. halaf huwa nawashangaa itv. ina maana hawaoni kama ni upuuzi na utoto anafanya. khaaaaaaa
vipi kuhusu simon kabendera.
 
Mimba changa zina tabia ya kuchukia watu bila sababu, ukifika mwezi wa nne-tano mambo yako yatakuwa shwari. Kuhamahama vituo sio kipimo cha ubora. Zembwela ndie mtangazaji bora wa vipindi vya asubuhi kwa sasa baada ya Regina Mwalekwa kuhamia wapi sijui. Wewe na shoga zako munaemtaja-taja munatuthibitishia kuwa huwa munamsikiliza. Endeleeni na moyo huo huo...
anahisi tukisikiliza wapo radio tutaokoka na baadae kuongeza sadaka kwenye saccos zao za kidini.
 
anahisi tukisikiliza wapo radio tutaokoka na baadae kuongeza sadaka kwenye saccos zao za kidini.

Usihangaike nae, Matola is a mental retard, namfahamu tangu udogo wake alipoandikiwa cheti cha aluminium pale Milembe Hospital...
 
Last edited by a moderator:
Hana uelewa mkubwa wa mambo wakai huohuo anajifanya anajua kila kitu. Anafanya kipindi kuonekana kibovu!
 
zembwela kwa kweli ni kituko...alafu sidhani kama mengi huwa anapima watu akili kabla ajawapa kibarua,najua mzee wetu mengi ana moyo wa kuwawezesha walemavu nampa big up kwa ilo,,ila hii ya kiajili mpaka walemavu wa akili hapana.haiwezekani mtu kuanzia saa tatu mpaka saba mchana anaongea pumba tupu lazima uyu mtu atakuwa mlemavu wa akili.. alafu ubaya wa uyu zembwela ye anajiona smart kichwani hana shida kabisa,,kumbe pumba tupu na ubabe wa kitahaira
 
Hahahaha watu waabayaa
Mwanzon Zembela alianza vizur alipokuwa na M.baruti bt toka apandishwe cheo kaanza vuta bange zake,watu wakipiga simu anawakatisha kwa kutoa majib mkato yan dah,bt ndo kipnd bora kwa asubuh,ajishape poa atateka zaidi,,,Kibonde piga ua garagaza namsikia tu kwa jina kama hvo stotune blauuus fm jion,asubh na hata mchana.
 
Super mix ndiyo jina la kipindi chake lenyewe linajieleza au liwekwe kwa kiswahili ndiyo mtamuelewa? kwa ujumla huku mitaani kwetu jamaa anapendwa sana na nimepita mikoa mingi yenye net ya hii redio most ya watu huwa wana tune kwenye kipindi chake ss nyie mnaompinga si m tune redio zingine za akina dina marios! acheni wivu
 
Zembwela wa leo siyo yule wa zamani. penye ukweli acha na tuukubali tu jamani.
 
Habari wakuu,

Nimekuwa msikilizaji mzuri wa kipindi cha supa mix cha East africa Radio kuanzia saa 3 asubuhi mpaka saa 7 mchana. Kipindi hiki kinatangazwa na Zembwela (mchekeshaji wa zamani) na mwanadada mwingine.

kinachonikera katika kipindi hiki ni upotoshaji mkubwa wa Zembwela, ambaye siamni kama ana elimu nzuri (kulingana na hoja zake) zaidi ya kuongea mambo asiyoyajua hovyo hovyo. Kazi yake kubwa ni kukebehi wabunge, serikali za mitaa n.k. bila kutoa uchambuzi yakinifu. Utangazaji huu haufai kwa maendeleo ya taifa kwani mtangazaji anatakiwa kuchambua jambo ambalo ana ufahamu nalo, na iwapo hana ufahamu wa kutosha basi aalike wataalamu wa fani husika ili watoe habari kwa kina.

Zembwela anaropoka ovyo kiasi cha kukera wasikilizaji makini,

Rai - Zembwela ulikuwa mchekeshaji mahiri, usikurupukie fani ambazo una uelewa finyu. Nakushauri uwe na busara ukufahamu kuwa unasikiliza na watanzania wenye uelewa tofauti, punguza uropokaji usio na tija.

Ndugu Hillary Daudi mbona pamoja na kupewa ushauri wa bure na wadau wako hutaki kubadilika?Maana toka umerudi likizo unatoa manyago tu .Badilika ndugu sio kila kitu unaweza kukijua hadi kukebehi wengine.Kama ni uborn here here mbona tuliozaliwa Princess Margret na Ocean road tupo lakini hatuna hizo.Wazaramo wana msemo kuwa usijifanye "sidahikaga".
 
sifa mojawapo za mtangazaji ni hizi hapa... lazima uwe;


  • Opinionated
  • Smart
  • Funny
  • Well-informed
  • You like to talk
  • People listen when you talk
halafu pia, mtangazaji kama huyo, labda anafit kulingana na kituo hicho alichopo jamani...

hawezi wekwa kituo sensitive kama tbc halafu aongee pumba hizo mnazodai...

kama anaharibu, kuna mamlaka husika za kutoa malalamiko, nina imani watashughulikia tatizo la zembwela..
 
jamn kwani kuja mambo ya serikali za mitaa pan hitaji lugha ya kigeni au
maana ni mambo ya kujionea huku mtaani kwetuu
utangazaji ni kama omo la civis tuu hata usipoingia class utajuua tuu
kwa kufwatilia mambo mbalimbali
 
Ndugu Hillary Daudi mbona pamoja na kupewa ushauri wa bure na wadau wako hutaki kubadilika?Maana toka umerudi likizo unatoa manyago tu .Badilika ndugu sio kila kitu unaweza kukijua hadi kukebehi wengine.Kama ni uborn here here mbona tuliozaliwa Princess Margret na Ocean road tupo lakini hatuna hizo.Wazaramo wana msemo kuwa usijifanye "sidahikaga".

Wee nawe bado ujajifungua tuuu, kama abadiliki unasikiliza station nyingine

Zebwela ndio mtangazaji bora kwa uchambuzi makini na wenye hoja na majibu ya hoja mfatilie vizuri utamjua vizuri....

Ukiona tena bado abadiliki nenda ata wavu fm msikile muda huo dina marios sijui..

Zembwela piga kazi supermix na uswaz tupo nyuma yako.
 
Habari wakuu,

Nimekuwa msikilizaji mzuri wa kipindi cha supa mix cha East africa Radio kuanzia saa 3 asubuhi mpaka saa 7 mchana. Kipindi hiki kinatangazwa na Zembwela (mchekeshaji wa zamani) na mwanadada mwingine.

kinachonikera katika kipindi hiki ni upotoshaji mkubwa wa Zembwela, ambaye siamni kama ana elimu nzuri (kulingana na hoja zake) zaidi ya kuongea mambo asiyoyajua hovyo hovyo. Kazi yake kubwa ni kukebehi wabunge, serikali za mitaa n.k. bila kutoa uchambuzi yakinifu. Utangazaji huu haufai kwa maendeleo ya taifa kwani mtangazaji anatakiwa kuchambua jambo ambalo ana ufahamu nalo, na iwapo hana ufahamu wa kutosha basi aalike wataalamu wa fani husika ili watoe habari kwa kina.

Zembwela anaropoka ovyo kiasi cha kukera wasikilizaji makini,

Rai - Zembwela ulikuwa mchekeshaji mahiri, usikurupukie fani ambazo una uelewa finyu. Nakushauri uwe na busara ukufahamu kuwa unasikiliza na watanzania wenye uelewa tofauti, punguza uropokaji usio na tija.
mm nafikiri kipindi kina wadau wengi pamoja na ww mleta mada (underline&bold), yapo mazuri yake na mapungufu km ilivyo kwavipindi vingine, sijapenda jinsi ulivyoandika ni kama umemdharau sana,.
 
Hivi ni kwa nini mnaendelea kusikiliza vipindi vinavyoongozwa na watu wapuuzi kama Zembwela, Kibonde, Hando, Shafi Dauda & likes?

Karibuni Wapo Radio Fm tuchambuwe mada motomoto kwenye meza ya busara na Sabinus Mbogo, jana nilisikiliza hicho kipindi cha Super Mix na niliapa kamwe sintosikiliza tena kipindi hicho kinachoongozwa na mtu mwehu asiye na akili ambaye anajihisi ni Genious kumbe kichwa maji matupu.

Kuna kijana alikuwa anatangaza na Zembwela jina nimemsahau na sasa amehama hapo East African radio, kwakweli huyu kijana alikuwa ni msaada mkubwa sana kwa Zembwela na alijitahidi sana kumshape lakini sasa hivi mambo ni shaghalabagala.

Imagine kijana wa miaka 30 eti anajiita Babu na badly analazimisha na yule binti anaetangaza naye aitwe Bibi, this is rubbish, i will never tune my radio kusikiliza upuuzi wa Zembwela.

Na ushahidi wa haya ninayoyasema Zembwela atafia EA radio au atafukuzwa muda wake ukifika lakini hana vigezo vya kuombwa na redio nyingine kuhamia kwao, wenye sifa hizo wanajulikana ni watu wa kariba ya Fredwaa aliyekuwaga Redio Free Africa.
Haya bwana nabii mwenzio anapiga pesa wasafi now [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom