Ta.ko wwIlii? Maisha ni pesa tu ? Bhas mpaka Leo mngekuwa mnavaa kaniki kwa akili hizi
🤣 🤣 🤣Sup SUA kawaida usichukie professa.
Wewe afisa elimu wa halmashauri acha kutupiga fix , Mpoki labda ana maisha mazuri kuliko wafanyakazi wote wa halmashauri ya njombe hapoMpoki ana maisha mazuri kuliko Maprofesa na Ma PhD wote Tanzania
Kuna Neurosurgeons , dental experts , molecular biologists wanafanya reasearch za kutosha na wanaruka kila pembe ya dunia na wanakuwa funded na pesa za kutosha kwenye shughuli zao na bado wanalipwa mishahara mizuri .Ila Maprofesa wa Medicine wengi Wana hela aisee, hata salary scales zao ni kubwa kuliko Maprofesa wa politiko science, sociology,nk
Nchi haiwezi kuwa surrounded na illiteracy ikategemea kuendelea hata siku moja .Huitaji kuwa Professor kufanya hizo kazi. Madogo Wana bachelor za Open University ndo wanapiga hizo donkey work
Yupo dogo (bachelor degree) anafanya Taasisi fulan ya serikali (jina kapuni) Ni Mkurugenzi msaidiz tu, ana gari/dereva wa ofisi, akisafiri Kwa ndege Ni business class, per Diem @250,000 per night.... Professor Sasa! Per Diem @120,000, Safar za kikazi nchini anapewa nauli ya basiUkiona taifa limefikia level hii ya thamani ya elimu kushuka hivi basi jua kuna tatizo kubwa kwenye mifumo ya hiyo nchi ,kama Tanzania hapa .
Iko hivyo
Elimu Bora ipi? Kwa wahitimu wapi?Mleta uzi ni mjinga mno. Sasa Profesa akianza kuishi kipumbavu kama Manara kuna kijana ataweza kupata elimu bora? Elewa tu kuwa maprofesa wana mishahara yao na posho za kuwatosha na hawampigii magoti mtu ili mkono uende kinywani. Hao maboss wa town wakifika SUA au UDSM lazima wawe na adabu. Manara au Zembwela ana mchango gani kwa taifa zaidi ya kuchangia mmomonyoko wa maadili?
Hahahaaaa..... Dah.Ukisoma sana unakua mjinga baada ya kuwa bora, yani katika kila kitu utaona ni vya kijinga kufanya mfano kujenga nyumba nzuri utaona ni ujinga kuwa na nyumba nzuri, kula utaona maharagwe yana faida kuliko nyama
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]eti nauli ya bus , [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] kwamba professor anapanda bus ,halafu bus chafu bayaaaa kama lile la king Msukuma linalopiga ruti ya Mwanza -Geita [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Yupo dogo (bachelor degree) anafanya Taasisi fulan ya serikali (jina kapuni) Ni Mkurugenzi msaidiz tu, ana gari/dereva wa ofisi, akisafiri Kwa ndege Ni business class, per Diem @250,000 per night.... Professor Sasa! Per Diem @120,000, Safar za kikazi nchini anapewa nauli ya basi
Kaa kimya wewe kima.Elimu Bora ipi? Kwa wahitimu wapi?
Prof samahaniKaa kimya wewe kima.
Kigezo chako cha "maisha mazuri" ni kipi?Pamoja na kuwa na Elimu za Kuunga-unga Zembwela na Manara Wana maisha decent kuliko Maprofesa hapo SUA na kwingineko nchini