Zembwela/ Manara Wana maisha mazuri kuliko Profesa wa Tanzania

PhD zinatumika kisiasa kama kondom. Zikichoka zatupwa Tena jalalani
hahahahhaah yaani nimecheka kwa nguvu jaman loooh

hahhahahahahah uwiii

Maisha ni marahisi ikiwa hutachukulia kila kitu ni kufanya investigation,, live, love, laugh and enjoy
 
Tukizungumzia kwa %, basi wasomi wenye maisha uliyotaja hapa ni wachache ukilinganisha na wasio wasomi
 
Tatizo wakiugua wanatuomba misaada
 
Kwa hiyo profesa kutoishi apartment ya usd 3000 ni maisha mabaya?
 
Kwa hiyo profesa kutoishi apartment ya usd 3000 ni maisha mabaya?
Siyo maisha mabaya na SIyo lazima waishi hivyo ila tunachosema hawa jamaa kina manara so far waingiza pesa nyingi sana kwa endorsements walizonazo ukiangalia hawakwenda shule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…